Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri
Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa amelizua jipya baada ya kubainika kuikimbia timu hiyo na kwenda Afrika Kusini kufanya majaribio katika klabu moja ya huko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQ6QgfHLAKbIJZgna0skwyjV5Wy6p-7UYtLKTbFhxPH-GfDwu2zec-*Er025DMt2favZtikYR6BvBUivJKyiP58/chidi.jpg)
ALIYEPIGWA NA CHID ATIMKIA SAUZI
Stori: Haruni Sanchawa MSICHANA aliyewahi kupigwa na msanii wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’, Mwanaisha Sued ‘Aisha’ ametimkia nchini Afrika Kusini kuishi kwa muda. Mkali wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’, Paparazi wetu alitia timu nyumbani kwa binti huyo Ilala-Bungoni, jijini Dar ili kujua maendeleo yake ambapo mdogo wa Asha ambaye hakutaka jina lake lichorwe...
10 years ago
Mwananchi16 May
Usajili wa Ngasa gumzo Sauzi
Dar es Salaam. Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa kujiunga na klabu ya Free State Stars kwa mkataba wa miaka minne umezua gumzo nchini Afrika Kusini.
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
![](http://api.ning.com/files/VFUL0Af-KhryUnOnw60F8fOoSU0ml0IR*ChreIeXLsU33CLcd4dk9-XJzIqf8uI505urdtGDMlQU3lfKh0uFFOtubdWWThwB/ngasa7.jpg)
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Yanga kumlipia Ngasa deni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngassa-11Feb2015.jpg)
Ngasa alilazimika kukopa fedha benki baada ya kuamriwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kuilipa Simba Sh. milioni 45 alizochukua ili ajiunge nayo lakini akaikacha na kutua Yanga. Kamati hiyo pia ilimfungia mechi sita za awali za Ligi Kuu ya Tanzania Bara...
10 years ago
TheCitizen11 Feb
Ngasa here to stay, say giants Yanga
Young Africans leadership wants Mrisho Ngasa to put his overseas ambitions on hold and sign a new contract with the Jangwani Street team.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0pspPZXGabzzVafC8LhqVDWVx8ZzyX5*b69fxWdkIMgPSgT*BczvU*QskzEF5p3BwJMEHKi4BWXRd3*q6zSITe6/yanga.jpg?width=650)
Beki Yanga atimkia Afrika Kusini
Beki wa kati wa Yanga mwenye umbo kubwa, Rajab Zahir. Na Wilbert Molandi
PIGO jingine Yanga! Hivyo ndivyo utakavyoweza kutamka kwa beki wa kati mwenye umbo kubwa, Rajab Zahir kuitwa kwenye majaribio ya kucheza soka la kulipwa kwenye Klabu ya Bloemfontein Celtic inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini ‘Sauz’.…
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Ngasa aomba Yanga imlipie deni
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga, ameombakumlipiwa deni analodaiwa benki ili aweze kucheza kwa bidii na kuwa mfungaji bora.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
USAJILI: Yanga yakubali kumuuza Ngasa
>Uongozi wa klabu ya Yanga umetoa ruksa kwa klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini kufanya mazungumzo kama wanataka kumsajili mchezaji wao nyota, Mrisho Ngasa.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
MAJARIBIO YA NGASA: Yanga: TFF inatuhujumu
Dar es Salaam. Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linahusika katika hujuma ya kumpeleka mchezaji wao, Mrisho Ngassa kwenda kufanya majaribio na timu ya Free State Stars Afrika Kusini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania