Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beki Yanga atimkia Afrika Kusini

Beki wa kati wa Yanga mwenye umbo kubwa, Rajab Zahir. Na Wilbert Molandi
PIGO jingine Yanga! Hivyo ndivyo utakavyoweza kutamka kwa beki wa kati mwenye umbo kubwa, Rajab Zahir kuitwa kwenye majaribio ya kucheza soka la kulipwa kwenye Klabu ya Bloemfontein Celtic inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini ‘Sauz’.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM

  Mbunge wa Wawi Mkoa wa Kusini Pemba (CUF), Ahmed Juma Ngwali (mwenye flana nyekundu) amejivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yapata pigo Afrika Kusini kabla ya kuivaa Yanga

Klabu ya Simba imepata pigo jingine kabla ya kukutana na wapinzani wao wa jadi Yanga baada ya kipa wao Hussein Sharrif ‘Casillas’ kuumia ugoko katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Orlando Pirates nchini Afrika Kusini walipoweka kambi.

 

10 years ago

Vijimambo

MSUVA MAMBO SAFI AFRIKA KUSINI, YANGA WALETEWA OFA RASMI YA KUMUUZA


Simon Msuva amefaulu majaribio Afrika Kusini
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.
Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.
BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa amelizua jipya baada ya kubainika kuikimbia timu hiyo na kwenda Afrika Kusini kufanya majaribio katika klabu moja ya huko.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yasajili beki wa Togo

YANGA imemsajili beki wa kati Vincent Baossou kutoka Togo kuziba nafasi ya Joseph Zuttah wa Ghana aliyetupiwa virago.

 

10 years ago

Mwananchi

Beki tatizo Yanga, Azam

Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Afrika mwakani, Azam na Yanga walishindwa kutambiana juzi kwa kutoka sare 2-2, lakini mengi yalijiweka bayana katika mchezo huolicha ya matokeo hayo yapo mambo mengi yaliyojitokeza.

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Yanga hakuna beki wa kunizuia

Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya kukutana uso kwa uso na Yanga, straika wa Simba, Amissi Tambwe ametamba kuwa lazima afunge bao katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Championi Ijumaa, Tambwe anayeongoza kwa mabao katika ligi hiyo akiwa amecheka na nyavu mara 19, alisema jeuri hiyo anaipata kwa sababu ukuta wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Beki wa Blackburn Rovers atua Yanga

Yanga imempokea beki mkongwe wa Afrika Kusini, Aaron Mokoena tayari kufanya majaribio ya kusaka nafasi ya kujiunga na mabingwa wapya Ligi Kuu Bara.

 

11 years ago

GPL

Beki avunja mkataba, atua Yanga

Na Martha Mboma
BEKI wa Coastal Union, Abdi Banda, amefunguka  na kusema yupo katika hatua nzuri ya kuweza kumalizana na Yanga, huku akiwa anavunja mkataba wake. Beki wa Coastal Union, Abdi Banda. Kabla ya msimu uliopita Yanga ilikuwa ikimhitaji beki huyo ambaye alipandishwa kutoka timu ya vijana ya Coastal…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani