MSUVA MAMBO SAFI AFRIKA KUSINI, YANGA WALETEWA OFA RASMI YA KUMUUZA

Simon Msuva amefaulu majaribio Afrika Kusini
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.
Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.
BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Simon Msuva atorokea Afrika ya Kusini
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Algeria vs Afrika kusini:Ukweli wa mambo
11 years ago
Michuzi.jpg)
Membe amuaga rasmi Balozi wa Afrika Kusini nchini
.jpg)
11 years ago
GPL
Beki Yanga atimkia Afrika Kusini
11 years ago
Mwananchi08 Jul
USAJILI: Yanga yakubali kumuuza Ngasa
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI
11 years ago
Mwananchi13 Oct
Simba yapata pigo Afrika Kusini kabla ya kuivaa Yanga
11 years ago
MichuziMaafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini watembelea Wizara ya Mambo ya Nje