Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Algeria vs Afrika kusini:Ukweli wa mambo

Afrika kusini haijafungwa na Algeria katika michuano miwili kati ya timu hizo baada ya kuishinda Algeria 2-1 mwaka 1996

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yainyuka Afrika Kusini 3-1

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon imeendelea nchini Equatorial Guinea,kwa Algeria kuichapa Afrika Kusini 3-1

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria kuchuana na Afrika kusini

Algeria yenye wachezaji nyota Yacine Brahimi, Sofiane Feghouli inapigiwa upato dhidi ya Afrika kusini katika mechi ya kundi C

 

9 years ago

Mwananchi

Taifa Stars kuweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na Algeria

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itaweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili wa kutafuta tiketi ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia 2018 dhidi ya Algeria, mwezi ujao.

 

10 years ago

Vijimambo

MSUVA MAMBO SAFI AFRIKA KUSINI, YANGA WALETEWA OFA RASMI YA KUMUUZA


Simon Msuva amefaulu majaribio Afrika Kusini
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.
Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.
BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake,...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI


Mhe. Dkt. Maalim akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Waangalizi wa Uchaguzi kwenye Kituo cha Taifa cha Kuratibu Matokeo. Kwa nyuma ni screen zinazoonesha matokeo kutoka sehemu mbalimbali za nchi yanavyoingia.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maali m akielekea kwenye moja ya Vituo vya kupigia kura wakati wa  Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini humo uliofanyika tarehe 7 Mei, 2014. Mhe. Dkt. Maalim anaongoza ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi...

 

10 years ago

Michuzi

Maafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini watembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Joachim Otaru akitoa hotuba kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania, nafasi ya Tanzania katika kutekeleza majukumu ya kimataifa na uwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa kwa Maafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini. Maafisa hao wapo nchini kwa ziara ya mafunzo hadi tarehe 02 Oktoba 2014. Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda katika Wizara ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

I Coast vs Guinea:Ukweli wa mambo

Hakuna mchezaji ambaye ametoa usaidizi wa mabao katika michuano ya mataifa ya Afrika tangu mwaka 2010 kama Yaya Toure

 

11 years ago

GPL

PENNY AZUNGUMZA UKWELI WA MAMBO

Penniel Mwingila 'VJ Penny'. Mtangazaji na meneja wa vipindi wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mwingila 'VJ Penny' amesema kuwa yeye na mpenzi wake, staa wa ‘My Number One’, Diamond Platnumz, wamepeana nafasi ili kila mmoja kutafakari anachotaka maishani. Kauli ya Penny kwenye mahojiano maalum na Bongo5 TV, inajibu maswali ya wengi kuhusiana na… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Senegal vs Ghana:Ukweli wa mambo

Senegal wameshindwa kushinda michuano mitatu ya mechi za kombe la mataifa ya afrika dhidi ya Ghana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani