Maafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini watembelea Wizara ya Mambo ya Nje
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Joachim Otaru akitoa hotuba kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania, nafasi ya Tanzania katika kutekeleza majukumu ya kimataifa na uwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa kwa Maafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini. Maafisa hao wapo nchini kwa ziara ya mafunzo hadi tarehe 02 Oktoba 2014.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda katika Wizara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
MAAFISA WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA(NDC) WATEMBELEA KIWANDA CHA GEREZA KUU UKONGA JIJINI DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s640/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-4-1AA-1018x1024.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
MichuziUJUMBE KUTOKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI (NDC) WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU KADIO AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU MAGEREZA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA, WAJUMBE WAKAGUA UJENZI KIWANDA CHA USEREMALA, MSALATO DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwpCQ9oQVgw/Xmzj2bRY0HI/AAAAAAALjp4/77QLFx17WYszLlnphZL3nTBvI7Cuj7KhQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-5-768x765.jpg)
SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU ZIMAMOTO KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwpCQ9oQVgw/Xmzj2bRY0HI/AAAAAAALjp4/77QLFx17WYszLlnphZL3nTBvI7Cuj7KhQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-5-768x765.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akizungumza na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Victor Mwambalaswa wakati wakitoka kukagua Jengo la Makao makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, jijini Dodoma leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5ScASxO7TXY/VCq67tj-ilI/AAAAAAAGmvk/IMGqw7n1nFw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MAAFISA KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Maafisa Wakuu 35 kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini (South African National Defence College – NDC), wametembelea Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Septemba 30, 2014 kwa lengo la kujifunza kuhusu Sera ya Tanzania kuhusu vyanzo vya nishati nchini hususan mafuta, gesi, makaa ya mawe na uvumbuzi wa madini mengine na changamoto zake.
Maafisa hao waliongozwa na Mkuu wa Chuo Brigedia Jenerali G.M. Yekelo pamoja na Maafisa kutoka...
10 years ago
MichuziWanafunzi wa Chuo cha Taifa CHA UTALII WATEMBELEA TBL
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA(NATIONAL DEFENCE COLLEGE)