Usajili wa Ngasa gumzo Sauzi
Dar es Salaam. Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa kujiunga na klabu ya Free State Stars kwa mkataba wa miaka minne umezua gumzo nchini Afrika Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri
11 years ago
Mwananchi08 Jul
USAJILI: Yanga yakubali kumuuza Ngasa
10 years ago
Mwananchi13 May
USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]
The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
![](http://api.ning.com/files/VFUL0Af-KhryUnOnw60F8fOoSU0ml0IR*ChreIeXLsU33CLcd4dk9-XJzIqf8uI505urdtGDMlQU3lfKh0uFFOtubdWWThwB/ngasa7.jpg)
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Ngasa amkera kocha Stars
WAKATI msafara wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ukitarajiwa kurejea nchini kesho ukitokea kambini nchini Botswana, kuna habari kuwa Kocha Mart Nooij, amemtema mshambuliaji Mrisho Ngasa kwa utovu...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...
10 years ago
TheCitizen13 May
Ngasa finally joins SA team
10 years ago
TheCitizen11 Feb
Ngasa here to stay, say giants Yanga