Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usajili wa Ngasa gumzo Sauzi

Dar es Salaam. Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania,  Mrisho Ngassa kujiunga na klabu ya Free State Stars kwa mkataba wa miaka minne umezua gumzo nchini Afrika Kusini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa amelizua jipya baada ya kubainika kuikimbia timu hiyo na kwenda Afrika Kusini kufanya majaribio katika klabu moja ya huko.

 

11 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga yakubali kumuuza Ngasa

>Uongozi wa klabu ya Yanga umetoa ruksa kwa klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini kufanya mazungumzo kama wanataka kumsajili mchezaji wao nyota, Mrisho Ngasa.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya

>Wakati Mrisho Ngassa akisaini mkataba wa miaka  minne wa kuichezea Free State Stars ya Afrika Kusini, Yanga  imesema itasajili wachezaji 11 wapya akiwamo mshambuliaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma.

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngasa aaga Yanga.


Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani. 
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngasa amkera kocha Stars

WAKATI msafara wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ukitarajiwa kurejea nchini kesho ukitokea kambini nchini Botswana, kuna habari kuwa Kocha Mart Nooij, amemtema mshambuliaji Mrisho Ngasa kwa utovu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...

 

10 years ago

TheCitizen

Ngasa finally joins SA team

Dar es Salaam. Former Young Africans striker Mrisho Ngassa has completed his lucrative move to South Africa’s Premier League side, Free State Stars, after agreeing a four-year deal.

 

10 years ago

TheCitizen

Ngasa here to stay, say giants Yanga

Young Africans leadership wants Mrisho Ngasa to put his overseas ambitions on hold and sign a new contract with the Jangwani Street team.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani