USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya
>Wakati Mrisho Ngassa akisaini mkataba wa miaka minne wa kuichezea Free State Stars ya Afrika Kusini, Yanga imesema itasajili wachezaji 11 wapya akiwamo mshambuliaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 May
USAJILI: Yanga, Simba yametimia
10 years ago
Mwananchi01 Jun
SOKA: Ngassa asaka nyumba Sauzi
10 years ago
Mwananchi16 May
Usajili wa Ngasa gumzo Sauzi
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Azam kusajili wapya
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s72-c/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s320/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Yanga yahofia kusajili ‘makapi’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.
Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Yanga, Azam ‘zazuiwa’ kusajili
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri
10 years ago
Mtanzania15 May
Yanga yazima ndoto za Msuva Sauzi
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
NDOTO za mshambuliaji wa timu ya Yanga na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliopita, Simon Msuva kucheza soka la kulipwa katika timu ya Bidvest Wits nchini Afrika Kusini zimefutika, baada ya uongozi wa Wanajangwani hao kumzuia mchezaji huyo kuondoka.
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo zililieleza MTANZANIA jana kuwa, maamuzi hayo yalitolewa katika kikao kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Chanzo hicho kilisema...