Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya

>Wakati Mrisho Ngassa akisaini mkataba wa miaka  minne wa kuichezea Free State Stars ya Afrika Kusini, Yanga  imesema itasajili wachezaji 11 wapya akiwamo mshambuliaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga, Simba yametimia

>Yanga imeshinda vita ya nje ya Uwanja baada ya kuipata saini ya kiungo Deus Kaseke aliyekuwa akiwaniwa na watani wao, Simba kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Mwananchi

SOKA: Ngassa asaka nyumba Sauzi

>Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa amewasili nchini Afrika Kusini jana kusaka nyumba tayari kuanza maisha mapya katika klabu yake ya Free State Stars ya Bethlehem.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa Ngasa gumzo Sauzi

Dar es Salaam. Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania,  Mrisho Ngassa kujiunga na klabu ya Free State Stars kwa mkataba wa miaka minne umezua gumzo nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kusajili wapya

Klabu ya Azam ina mipango ya kusajili wachezaji kutoka nchi za Zambia, Ivory Coast na Rwanda.

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA

Juma Pinto Mwenyekiti Miss TanzaniaKamati ya Miss Tanzania inapenda kuwatangazia wadau wote wanaotaka kuandaa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa mwaka 2016 kutuma maombi yao ya uwakala kuanzia sasa hadi tarehe 30 Novemba 2015 ndio mwisho wa kupokea maombi hayo.
 Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1)      Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yahofia kusajili ‘makapi’

yanga-jjjj1NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.

Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam ‘zazuiwa’ kusajili

Dar es Salaam. Timu za Yanga na Azam ni miongoni mwa timu tano zilizoondolewa katika mchakato wa usajili wa dirisha dogo huku Simba, JKT Ruvu na African Sports zikitakiwa kutorudia makosa kipindi hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa amelizua jipya baada ya kubainika kuikimbia timu hiyo na kwenda Afrika Kusini kufanya majaribio katika klabu moja ya huko.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yazima ndoto za Msuva Sauzi

msuvaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
NDOTO za mshambuliaji wa timu ya Yanga na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliopita, Simon Msuva kucheza soka la kulipwa katika timu ya Bidvest Wits nchini Afrika Kusini zimefutika, baada ya uongozi wa Wanajangwani hao kumzuia mchezaji huyo kuondoka.
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo zililieleza MTANZANIA jana kuwa, maamuzi hayo yalitolewa katika kikao kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Chanzo hicho kilisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani