Azam kusajili wapya
Klabu ya Azam ina mipango ya kusajili wachezaji kutoka nchi za Zambia, Ivory Coast na Rwanda.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 May
USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya
>Wakati Mrisho Ngassa akisaini mkataba wa miaka minne wa kuichezea Free State Stars ya Afrika Kusini, Yanga imesema itasajili wachezaji 11 wapya akiwamo mshambuliaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s72-c/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s320/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Yanga, Azam ‘zazuiwa’ kusajili
Dar es Salaam. Timu za Yanga na Azam ni miongoni mwa timu tano zilizoondolewa katika mchakato wa usajili wa dirisha dogo huku Simba, JKT Ruvu na African Sports zikitakiwa kutorudia makosa kipindi hicho.
11 years ago
Azam FC![](http://2.bp.blogspot.com/-mxwKyIUv9_8/U1Km6DLdKSI/AAAAAAABJXg/kyZlBuM3w2Y/s1600/Azam+Kombe.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Azam TV yabadili habari, yaajiri watangazaji wapya
Kituo cha Televisheni cha Azam kimefanya mabadiliko katika utangazaji wa taarifa za habari, huku kikimuajiri Jane Shirima kuwa mkurugenzi wa televisheni.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lJyj-NLN1cA/U1MXCYsAf9I/AAAAAAAFb3E/03I6pk8kfzA/s72-c/2.jpg)
mabingwa wapya wa ligi kuu ya bara Azam FC watawazwa rasmi
![](http://3.bp.blogspot.com/-lJyj-NLN1cA/U1MXCYsAf9I/AAAAAAAFb3E/03I6pk8kfzA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dA1Cl4zqow4/U1MXCuIN3aI/AAAAAAAFb3I/kgvKYrm5IzA/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Ql6mnGWlAc/U1MX9uGnZqI/AAAAAAAFb3U/4VUcHdYpdP0/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zIG3ZkQ_vJ4/U1MX9283qPI/AAAAAAAFb3Y/8H0R1EVXb_Q/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Simba kusajili watano
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr, amesema amependekeza kwa uongozi kusajili wachezaji watano wapya kwenye dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake ili kiweze kuhimili ushindani wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni
vilabu kuruhusiwa kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao ujao wa ligi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania