Simba kusajili watano
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr, amesema amependekeza kwa uongozi kusajili wachezaji watano wapya kwenye dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake ili kiweze kuhimili ushindani wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 May
Simba kusajili wachezaji kuziba pengo
Katika kile kinachoonekana ni kuweka mikakati ili kuchukua ubingwa msimu ujao, wekundu wa Msimbazi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Ygg2DSoOYTaOiwo7yHmr6x4P59lEUjkhS9oZCZs8-on0rFCCTO0c83n763eM6xnWqMtiU5kbvO-2bgIyoIk4esA/Untitled1.gif?width=650)
Wambura amzuia Hans Pope kusajili Simba
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Na Wilbert Molandi
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, amesema kwa sasa hataki kujihusisha na masuala ya usajili, badala yake ataelekeza nguvu zake katika biashara zake binafsi.
Mwenyekiti huyo ameitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati klabu mbalimbali zikiendelea na usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na sababu kubwa ni...
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Simba yasaka wapya watano
Huku Simba ikianza mazungumzo na klabu ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kunasa saini ya mshambuliaji wa timu hiyo, Daniel Lyanga, imebainika kuwa inasaka wapya watano.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fDK7wGavSSXWWCYnyVEVJEphnQNw4MPsV5wdq-Vpn*lvr7ARxl0fIMy6hV-nW9WkMsdD8idxnueYcqOeeYKC*jBiPp8OQ24n/mastaa.jpg?width=650)
Mastaa watano Yanga ruksa Simba
Mchezaji wa Yanga, Haruna Niyonzima. Na Wilbert Molandi
WAPO sokoni! Hivi ndivyo utakavyoweza kutamka baada ya wachezaji watano wa Klabu ya Yanga kubakiza miezi sita au chini ya hapo kwenye mikataba yao na timu hiyo. Kila timu hivi sasa inaangalia nafasi ipi yenye upungufu inayohitaji kuboresha kwa kusajili wachezaji wenye uwezo kwenye usajili wa dirisha dogo linalofunguliwa Novemba 15 na kufungwa Desemba 15. Wachezaji hao...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Azam kusajili wapya
Klabu ya Azam ina mipango ya kusajili wachezaji kutoka nchi za Zambia, Ivory Coast na Rwanda.
11 years ago
Mwananchi05 May
Julio awaza kusajili kimataifa
Huku ikisisitiza kutokubaliana na uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wa kuipa pointi tatu Stand United, klabu ya Mwadui FC imesema itafanya usajili wa nguvu wa wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi kama uliofanywa na Azam FC.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Namna ya kusajili mashirika ya kijamii
Mashirika au vyama vya kijamii yanasimamiwa na Sheria ya Vyama vya Kijamii (The Societies Act). Usajili wa mashirika haya hufanyika katika Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia ofisi ya Msajili wa Vyama.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Yanga, Azam ‘zazuiwa’ kusajili
Dar es Salaam. Timu za Yanga na Azam ni miongoni mwa timu tano zilizoondolewa katika mchakato wa usajili wa dirisha dogo huku Simba, JKT Ruvu na African Sports zikitakiwa kutorudia makosa kipindi hicho.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Barcelona yapigwa ‘stop’ kusajili
Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa) limeizuia klabu ya soka ya Barcelona kusajili wachezaji wapya kwa miezi 12.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania