Simba yasaka wapya watano
Huku Simba ikianza mazungumzo na klabu ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kunasa saini ya mshambuliaji wa timu hiyo, Daniel Lyanga, imebainika kuwa inasaka wapya watano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jan
JK atema wengine watano, wapya ni 10
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Walimu wapya 32 waripoti, watano wajawazito
9 years ago
Mwananchi08 Dec
USAJILI: Simba yasaka tiketi ya CAF
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro
9 years ago
Michuzi24 Oct
JK ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE NA MANAIBU KATIBU WAKUU WATANO WAPYA
9 years ago
Habarileo04 Nov
Simba kusajili watano
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr, amesema amependekeza kwa uongozi kusajili wachezaji watano wapya kwenye dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake ili kiweze kuhimili ushindani wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fDK7wGavSSXWWCYnyVEVJEphnQNw4MPsV5wdq-Vpn*lvr7ARxl0fIMy6hV-nW9WkMsdD8idxnueYcqOeeYKC*jBiPp8OQ24n/mastaa.jpg?width=650)
Mastaa watano Yanga ruksa Simba
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba wafalme wapya
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Simba yajipanga kuwatambulisha wapya
WACHEZAJI wapya wa Simba kutoka Burundi, Emery Nimubona ‘Petty’ na Laudit Mavugo wanatarajia kuwasili nchini wiki moja kabla ya Bonanza la Simba (Simba Day) linalotarajia kufanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Nyota hao wa kikosi cha timu ya taifa Burundi ‘Inthamba Murugamba’, wamesajiliwa na Simba kwa ajili msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema kuwa wachezaji hao wameshindwa kuwasili nchini mapema kutokana na...