Simba wafalme wapya
Kipa Ivo Mapunda ameibuka shujaa baada ya kupangua penalti na kuiongoza Simba kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbR7iWUh2AVqXhQrhdvLf0bnZQttPOgTtb*5NoFb9HYoHorVJ1YRfJu2siwDODkYagzyeCmmIlhk58v2EWDTnY-/dd.jpg?width=650)
USIKU WA WAFALME DAR LIVE: DIAMOND KUTAMBULISHA MADANSA WAPYA
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Simba yajipanga kuwatambulisha wapya
WACHEZAJI wapya wa Simba kutoka Burundi, Emery Nimubona ‘Petty’ na Laudit Mavugo wanatarajia kuwasili nchini wiki moja kabla ya Bonanza la Simba (Simba Day) linalotarajia kufanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Nyota hao wa kikosi cha timu ya taifa Burundi ‘Inthamba Murugamba’, wamesajiliwa na Simba kwa ajili msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema kuwa wachezaji hao wameshindwa kuwasili nchini mapema kutokana na...
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Simba yasaka wapya watano
11 years ago
Mwananchi30 Jun
MAONI: Viongozi wapya wa Simba leteni maendeleo
10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Azam wafalme
10 years ago
Mwananchi09 Feb
AFCON: Ivory Coast wafalme wa Afrika 2015
10 years ago
GPL26 Dec
10 years ago
GPL28 Dec