Simba yajipanga kuwatambulisha wapya
WACHEZAJI wapya wa Simba kutoka Burundi, Emery Nimubona ‘Petty’ na Laudit Mavugo wanatarajia kuwasili nchini wiki moja kabla ya Bonanza la Simba (Simba Day) linalotarajia kufanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Nyota hao wa kikosi cha timu ya taifa Burundi ‘Inthamba Murugamba’, wamesajiliwa na Simba kwa ajili msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema kuwa wachezaji hao wameshindwa kuwasili nchini mapema kutokana na...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Simba yajipanga kuiua Mbeya City
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeanza kuipigia hesabu Mbeya City wanayotarajia kucheza nayo Oktoba 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, wekundu hao wamedai kuwa ili kuzoa pointi zote tatu wamepanga kufika mapema mkoani humo.
Wachezaji wa Simba ambao hawamo kwenye timu za Taifa, wanatarajia kuanza tena mazoezi leo baada ya mapumziko ya siku mbili, tayari kabisa kujiandaa na mchezo huo muhimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Msimu uliopita Simba iliambulia patupu mbele ya...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba wafalme wapya
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Simba yasaka wapya watano
11 years ago
Mwananchi30 Jun
MAONI: Viongozi wapya wa Simba leteni maendeleo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s72-c/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Twanga kuwatambulisha Choki, Nyamwela Da’ West
![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s640/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Onyesho hilo litafanyika usiku katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.Mratibu wa onyesho hilo Joseph Kapinga wa Keen Arts na Bob Entertainment amesema kuwa onyesho hilo pia litakuwa ni la vunja jungu kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kapinga alisema pia Choki atatumia onyesho hilo kutambulisha nyimbo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VTJCahUENlI/U9D3UsgvX0I/AAAAAAAF5tQ/bSrm26FVARU/s72-c/unnamed.jpg)
Twanga kuwatambulisha waliotoka Extra Bongo na Malaika,Idd Mosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-VTJCahUENlI/U9D3UsgvX0I/AAAAAAAF5tQ/bSrm26FVARU/s1600/unnamed.jpg)
Hayo yalisemwa na kiongozi wa bendi hiyo Luizer Mbutu kwnye mazoezi ya bendi hiyo yanaoyendelea kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jana. Mbutu aliwataja wanenguaji hao kuwa ni Maria Soloma, Sabrina Mathew na Isaack Burhani maarufu kwa jina la Danger Boy. Mnenguaji aliyetokea bendi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pPtTCqgrQ_Y/Va-fbIvoD9I/AAAAAAAHrCw/WtHRij4M80o/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
Dk. Willibroad Slaa atua mwanza kuwatambulisha lembeli na bulaya leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-pPtTCqgrQ_Y/Va-fbIvoD9I/AAAAAAAHrCw/WtHRij4M80o/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2GXV1VSGNNU/Va-fbYQSwLI/AAAAAAAHrC0/cPs9v0qFtW8/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNpfCU8nQVc/Va-gEvMGMFI/AAAAAAAHrDI/yUtlgjUyIf0/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
10 years ago
MichuziADC YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA URAIS KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...