MAONI: Viongozi wapya wa Simba leteni maendeleo
>Itakumbukwa Mei 9, 2010, klabu ya Simba ilipata viongozi wake wake waliokuwa chini ya uenyekiti wa Ismail Aden Rage na ambao wamemaliza muda wao na jana viongozi wapya walitarajiwa kuingia madarakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Viongozi acheni fitina, leteni maendeleo-Kinana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Mnyika: Wanaoumizwa na bei ya umeme leteni maoni
WAZIRI Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika, amewataka wananchi wanaokerwa na bei mpya ya ongezeko la umeme kumtumia maoni yao ili ayawasilishe bungeni. Mbali na kutaka maoni ya wananchi,...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
KACU yapata viongozi wapya
CHAMA Kikuu cha Ushirika wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga (KACU), kimepata viongozi wapya wa Bodi huku mjumbe mmoja akitaka kujivua madaraka hayo ya ujumbe baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Chaumma yapata viongozi wapya
MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chaumma), Hashim Sipunda, amesema hana imani na Tume ya Uchaguzi, hivyo kuomba kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatenda haki. Sipunda alitoa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
TAHLISO yapata viongozi wapya
JUMUIA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), imepata uongozi mpya. Katika uchaguzi huo Musa Mudede, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Bugando cha...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
KCU wapata viongozi wapya
CHAMA Kikuu cha Ushirika Mkoa Kagera (KCU 1990) Ltd, kimewachagua viongozi wapya huku wa zamani wakitoshwa katika mkutano mkuu maalum uliofanyika mjini hapa, juzi. Uchaguzi huo umefanyika chini ya usimamizi...
9 years ago
Habarileo21 Aug
Viongozi wapya waanza kubebeshwa majukumu
MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjumita), umeomba viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kuwa na dhamira ya kweli ya kukabili na kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Chadema yapata viongozi wapya Kigoma
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoani Kigoma, kimepata uongozi mpya wa chama hicho kufuatia uongozi uliokuwepo awali kujiuzulu na kuhamia chama cha Allience For Change and Transparency (ACT – Tanzania).
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila, ambaye alikuwa msimamizi wa zoezi la kupatikana kwa viongozi hao...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
CHADEMA Kigoma yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Kigoma kimepata viongozi wapya ngazi ya Mkoa na Wilaya katika uchaguzi uliyofanyika jana. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni...