Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam wafalme

>Ashanti United imeendelea kupambana kutoka mkiani baada ya kuichapa Simba kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba wafalme wapya

Kipa Ivo Mapunda ameibuka shujaa baada ya kupangua penalti na kuiongoza Simba kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

AFCON: Ivory Coast wafalme wa Afrika 2015

>Ivory Coast imefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika 2015, katika mchezo wa kihistoria wa mikwaju ya penalti 9-8.

 

10 years ago

GPL

USIKU WA WAFALME DAR LIVE: DIAMOND KUTAMBULISHA MADANSA WAPYA

Stori: Andrew Carlos
ZIKIWA zimebaki siku tano kamili kuwaka kwa moto wa burudani ndani ya Dar Live, Desemba 25, mwaka huu, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameweka wazi kuwa siku hiyo atawatambulisha rasmi madansa wake wapya. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. Akizungumza katika mahojiano na Global TV Online...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA WAFALME DAR LIVE DIAMOND: NILISHAGANDISHWA NIGERIA SAA 8

DAR ES SALAAM,  Tanzania
BAADA ya kuchukua tuzo tatu kwa mpigo za Channel O zijulikanazo kama Channel O Africa Music Video Awards (Choamva), staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, amefunguka ya moyoni na kusema kuwa alipokuwa nchini Nigeria alishawahi kugandishwa kwa saa 8 kisa kufanya kolabo. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Diamond aliyasema hayo alipokuwa na mazungumzo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani