Mastaa watano Yanga ruksa Simba
![](http://api.ning.com:80/files/fDK7wGavSSXWWCYnyVEVJEphnQNw4MPsV5wdq-Vpn*lvr7ARxl0fIMy6hV-nW9WkMsdD8idxnueYcqOeeYKC*jBiPp8OQ24n/mastaa.jpg?width=650)
Mchezaji wa Yanga, Haruna Niyonzima. Na Wilbert Molandi WAPO sokoni! Hivi ndivyo utakavyoweza kutamka baada ya wachezaji watano wa Klabu ya Yanga kubakiza miezi sita au chini ya hapo kwenye mikataba yao na timu hiyo. Kila timu hivi sasa inaangalia nafasi ipi yenye upungufu inayohitaji kuboresha kwa kusajili wachezaji wenye uwezo kwenye usajili wa dirisha dogo linalofunguliwa Novemba 15 na kufungwa Desemba 15. Wachezaji hao...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Ruksa nyota watano wa kigeni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAMBURA RUKSA KUGOMBEA URAIS SIMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9H3AGv01HnK-3R3uaVu9UCRspOmO6rH**5Te5j-AOCXj-rSZ4yj9LEq5m5fTYKxbNh9nNxiVbG4wcVhr0-ovh3f/OKWI.jpg?width=650)
OKWI RUKSA KUITUMIKIA YANGA
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Yanga ruksa kuwaona Azam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYFtwJp1xk62Fby0yigbfC31dQrcb6YtwvNPJX5-C5PBlBOIvxa2SdByksX36h-twQU*XUFEr4hzjejpYZ68J4q/OKWI.gif?width=650)
FIFA: OKWI RUKSA YANGA
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Wambura sasa ruksa kuwania urais Simba
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...
10 years ago
Vijimambo08 Jul
Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jonas-8July2015.jpg)
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.
Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.
Akizungumza...