Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba
Rais wa Simba, Evance Aveva ametoa ruhusa kwa wachezaji wake, Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Cholo’, Joseph Owino, Issa Rashida ‘Baba Ubaya’, Haruna Chanongo kufanya mazungumzo na timu nyingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 May
Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea
11 years ago
Habarileo21 Jul
Mbowe: Wanachama ‘mizigo’ Chadema ruksa kuondoka
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Slaa: Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA ruksa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4wfW20OQ3gWb76C1XoD0HmVaL6LTPNotZbRl6be90L7RYKdVn8rJSDjeouNzEbOuaXnwNLOrEpgpkcBJAy03vB/o.jpg?width=650)
Benchi lamuondoa Owino Simba SC
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Owino awa nahodha Simba
10 years ago
TheCitizen13 Dec
Simba, Owino agree terms
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kinachommaliza Owino Simba chatajwa
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.
Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...
10 years ago
TheCitizen10 Dec
Simba welcome Kenyan defender Owino for trials
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2IH5rZm6MTCT1EfhpA3dDBl-yvr1RCMaIGlPLZDvFL35Jn5jHO-6Ktq5LJGQlQcbeMR2qp3Xt5kNgMPsaDRpYNv/loga.jpg?width=650)
Loga ampeleka Owino Simba B, agoma