Owino awa nahodha Simba
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amemteua beki Joseph Owino kuwa nahodha mpya wa timu hiyo na atasaidiwa na kiungo mkongwe, Shaaban Kisiga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen13 Dec
Simba, Owino agree terms
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kinachommaliza Owino Simba chatajwa
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.
Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...
10 years ago
GPLBenchi lamuondoa Owino Simba SC
11 years ago
GPLLoga ampeleka Owino Simba B, agoma
10 years ago
TheCitizen10 Dec
Simba welcome Kenyan defender Owino for trials
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba
11 years ago
GPLOwino amwaga siri za Okwi
10 years ago
GPLKopunovic amkataa Joseph Owino