Owino amwaga siri za Okwi

Beki wa kimataifa wa Simba, Joseph Owino. Na Sweetbert Lukonge BEKI wa kimataifa wa Simba, Joseph Owino amemtaka Mganda mwenzake aliyesajiliwa na Yanga hivi karibuni, Emmanuel Okwi kuachana na vitendo vya starehe ili aweze kuwa katika kiwango kizuri kwa muda wote atakaokuwa na klabu hiyo kwa kuwa hiyo ndiyo siri pekee ya mafanikio yake.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Okwi amwaga chozi akisimulia
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Okwi afichua siri Simba
11 years ago
GPL
SIRI NZITO USAJILI WA OKWI YAANIKWA
11 years ago
GPL
Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kinachommaliza Owino Simba chatajwa
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.
Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...
10 years ago
TheCitizen13 Dec
Simba, Owino agree terms
10 years ago
GPL
Kopunovic amkataa Joseph Owino
10 years ago
GPL
Benchi lamuondoa Owino Simba SC
11 years ago
Mwananchi29 Aug
Owino awa nahodha Simba