Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga

Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Ibrahim Mussa
AMEMWAGA mboga! Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, ameibuka na kusema kuwa kitendo alichokifanya mshambuliaji Emmanuel Okwi cha kutimkia Simba ni sahihi kwani viongozi wa Yanga hawakuwa wakimjali kipindi anachezea timu yao. Pluijm ambaye alifanya kazi na Mganda huyo katika kikosi cha timu hiyo msimu uliopita kabla ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Pluijm atoboa siri Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema siri kubwa ya kikosi chake kufanikiwa kuvunja mwiko wa kuifunga Mtibwa Sugar ilitokana na wachezaji wake kucheza kwa nidhamu ya kiufundi.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atoa onyo Yanga

plijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Hans Van Der Pluijm, amewaonya viongozi wa klabu hiyo na kuwataka wahakikishe wanafanya usajili utakaoiletea timu mafanikio na siyo ubabaishaji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema kipindi cha usajili kimekuwa na matukio ya ajabu ambayo hupelekea mipango ya mwalimu kuvurugika kutokana na viongozi kufanya maamuzi yao binafsi.
Pluijm ambaye anatarajia kuondoka nchini Jumamosi kuelekea...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkwasa atoa siri nzito Yanga

Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Boniface Mkwasa.
Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema ana mkataba wa kuinoa Yanga aliopewa na uongozi wa Wanajangwani kabla ya kuchezwa kwa mechi ya 'Nani Mtani Jembe 2'.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi, Yanga ilipokea kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Simba, matokeo ambayo yamewafukuzisha kazi aliyekuwa Kocha Mkuu, Mbrazil Márcio...

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA KIKOSI CHA YANGA KUONDOKA BILA MSHAMBULIAJI DAVID MOLINGA MAPYA YAIBUBA,ATOA MANENO MAZITO






Na Said Mwishehe,Michuzi TV

NAONDOKA Yanga!Hiyo ni kauli ya Mshambuliaji wa timu ya Yanga David Molinga 'Falcao' amesema baada ya mkataba wake ambao umbakia miezi miwili kuanzia sasa ataondoka katika kikosi hicho huku akitoa tuhuma kwa Kocha Msadizi wa timu hiyo Boniface Mkwasa kuwa hampendi.

Molinga aameeleza hayo leo Juni 10,mwaka 2020 wakati akihojiwa na watangazaji wa kipindi cha Sports Arena kinachorushwa na Wasafi FM ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua mambo mbalimbali yanayomhusu yeye...

 

11 years ago

GPL

Pluijm amtema Okwi kikosini

Emmanuel Okwi. Martha Mboma na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema mchezaji Emmanuel Okwi hayupo kambini na suala lake lipo juu ya uwezo wake na hawezi kumtumia kwenye mechi ya leo dhidi ya Kagera Sugar.
Pluijm amesema mbali na Okwi, kuna wachezaji wengine kadhaa hawapo, lakini yeye anaendelea kupambana na wale waliopo.… ...

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm afichua siri ya usajili

KOCHA wa Yanga Mholanzi Hans van der Pluijm, ameweka wazi sababu ya kuendelea kusajili kwenye dirisha dogo ni kuifanya timu hiyo iwe bora Afrika. Alisema lengo ni kuepuka kikosi chake kutegemea baadhi ya wachezaji pindi wanapokuwa katika ushindani mkubwa kama ilivyo sasa.

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Nimenasa siri zote za Platinum

Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Nicodemus Jonas na Hans Mloli
YANGA kesho Jumapili inacheza na FC Platinum ya Zimbabwe mechi ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amesema amenasa mbinu zote za wapinzani wao na ni lazima wawafunge. Kocha huyo raia wa Uholanzi, kikosi chake jana Ijumaa asubuhi kilifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Karume na baada ya mazoezi hayo,...

 

11 years ago

GPL

Owino amwaga siri za Okwi

Beki wa kimataifa wa Simba, Joseph Owino. Na Sweetbert Lukonge
BEKI wa kimataifa wa Simba, Joseph Owino amemtaka Mganda mwenzake aliyesajiliwa na Yanga hivi karibuni, Emmanuel Okwi kuachana na vitendo vya starehe ili aweze kuwa katika kiwango kizuri kwa muda wote atakaokuwa na klabu hiyo kwa kuwa hiyo ndiyo siri pekee ya mafanikio yake.…

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi afichua siri Simba

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (pichani) ameshangazwa na madai kuwa amechelewa kujiunga na timu hiyo wakati uongozi wake haukumwambia muda anaotakiwa kurudi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani