BAADA YA KIKOSI CHA YANGA KUONDOKA BILA MSHAMBULIAJI DAVID MOLINGA MAPYA YAIBUBA,ATOA MANENO MAZITO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jac_mO-hpH4/XuDobazVvCI/AAAAAAALtYU/Guukt9DT4HgCZAM1fXDIr1xejKEHbP3CwCLcBGAsYHQ/s72-c/molinga%252Bpic.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
NAONDOKA Yanga!Hiyo ni kauli ya Mshambuliaji wa timu ya Yanga David Molinga 'Falcao' amesema baada ya mkataba wake ambao umbakia miezi miwili kuanzia sasa ataondoka katika kikosi hicho huku akitoa tuhuma kwa Kocha Msadizi wa timu hiyo Boniface Mkwasa kuwa hampendi.
Molinga aameeleza hayo leo Juni 10,mwaka 2020 wakati akihojiwa na watangazaji wa kipindi cha Sports Arena kinachorushwa na Wasafi FM ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua mambo mbalimbali yanayomhusu yeye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-n0CH1WcSCj0/VJq-vj5PxgI/AAAAAAAArSM/bs2KzmB8oZ0/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-06-05%2Bat%2B19.26.42.png)
MAZITO NA MAPYA YAIBUKA BAADA YA SHILOLE KUVALISHWA PETE YA UCHUMBA, UMRI NA MICHEPUKO VYAHUSIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0CH1WcSCj0/VJq-vj5PxgI/AAAAAAAArSM/bs2KzmB8oZ0/s1600/Screen%2BShot%2B2014-06-05%2Bat%2B19.26.42.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B_IA9nCTFcs/Xufa5W6VyUI/AAAAAAALt8c/i8v0naWjiJ0AjHJAY4G_P0AwQWZP-kjnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B8.11.17%2BPM.jpeg)
YANGA WATINGA BUNGENI BILA MSHAMBULIAJI NYOTA MORRISON....SPIKA NDUGAI AWAULIZA YUKO WAPO?
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.
Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1ULBW*XdrfP-wCXKwU8kE0PTCLgEfOtnGG7zoBjJ8eCuGmo3FDNARYIkVjSwFbm8pAMOGThwF-JekAnIX1G-M/pluijm.jpg)
Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports
Jumatano ya December 16 Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Mkwakwani Tanga. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara klabu ya Dar Es Salaam Young African walikuwa wageni wa klabu ya African Sports ya Tanga. Yanga ambao waliambulia sare ya bila kufungana katika dimba la Mkwakwani December 12 […]
The post Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPLKIKOSI CHA YANGA MECHI YA LEO
10 years ago
GPLKIKOSI CHA YANGA KITAKACHOKWAANA NA PRISONS LEO