YANGA WATINGA BUNGENI BILA MSHAMBULIAJI NYOTA MORRISON....SPIKA NDUGAI AWAULIZA YUKO WAPO?
![](https://1.bp.blogspot.com/-B_IA9nCTFcs/Xufa5W6VyUI/AAAAAAALt8c/i8v0naWjiJ0AjHJAY4G_P0AwQWZP-kjnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B8.11.17%2BPM.jpeg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.
Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA NDUGAI AGOMEA HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI KUSOMWA,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s400/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amekataa kusomwa kwa hotuba ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni kuhusu hotuba ya Waziri Mkuu kwa kile alichoeleza kuwa zina shida ikiwemo kuwa na mambo mengi ya kubuni.
Amesema aliipata hotuba hiyo mapema na kuipitia ambapo amebaini kuwa na mambo mengi ya kubahatisha huku ikiwa haijazingatia kanuni za kiuandishi.
Amesema hawezi kuruhusu mambo ya mwaka wa kwanza na wa pili wa Bunge kufanywa katika mwaka wa tano na hivyo kusema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s72-c/spika1.jpg)
SPIKA NDUGAI AWATAKA WABUNGE CHADEMA KURUDISHA POSHO WALIOZOCHUKUA BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s400/spika1.jpg)
*Watakaogoma majina yao kukabidhiwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amekunjua makucha yake kwa wabunge wa Chadema ambao wametoroka Bungeni wakiongozwa na Freeman Mbowe huku akiwataka warudi bungeni haraka iwezekanavyo na fedha za posho wamechukua kwa siku 14 wanatakiwa kuzirudisha kwa kuziweka katika akaunti ya Bunge.
Pia Spika Ngugai amewaagiza wabunge hao kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jac_mO-hpH4/XuDobazVvCI/AAAAAAALtYU/Guukt9DT4HgCZAM1fXDIr1xejKEHbP3CwCLcBGAsYHQ/s72-c/molinga%252Bpic.jpg)
BAADA YA KIKOSI CHA YANGA KUONDOKA BILA MSHAMBULIAJI DAVID MOLINGA MAPYA YAIBUBA,ATOA MANENO MAZITO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jac_mO-hpH4/XuDobazVvCI/AAAAAAALtYU/Guukt9DT4HgCZAM1fXDIr1xejKEHbP3CwCLcBGAsYHQ/s640/molinga%252Bpic.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
NAONDOKA Yanga!Hiyo ni kauli ya Mshambuliaji wa timu ya Yanga David Molinga 'Falcao' amesema baada ya mkataba wake ambao umbakia miezi miwili kuanzia sasa ataondoka katika kikosi hicho huku akitoa tuhuma kwa Kocha Msadizi wa timu hiyo Boniface Mkwasa kuwa hampendi.
Molinga aameeleza hayo leo Juni 10,mwaka 2020 wakati akihojiwa na watangazaji wa kipindi cha Sports Arena kinachorushwa na Wasafi FM ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua mambo mbalimbali yanayomhusu yeye...
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Mshambuliaji wa Congo yuko hali mahututi
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Job Ndugai yuko wapi?
5 years ago
The Citizen Daily11 Mar
Morrison glows as Yanga down Simba
9 years ago
Habarileo18 Nov
Ndugai Spika wa Bunge la 11
MBUNGE wa Kongwa mkoani Dodoma, Job Yustino Ndugai (55) ndiye Spika mpya wa Bunge atakayeongoza Bunge la 11 lililoanza mkutano wake wa kwanza jana. Ndugai, ambaye ni Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichaguliwa kwa kishindo, akitwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wengine saba kutoka vyama vya siasa kwa kupata asilimia 70 ya kura zote zilizopigwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TFllIJcG3bc/XvMWQVUjpBI/AAAAAAAEH_k/zyG69FuhukM1mYA-wBlO1ggHrewiUsgigCLcBGAsYHQ/s72-c/Yangaapic.jpg)
SINEMA YA YANGA NA MORRISON YAANZA UPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TFllIJcG3bc/XvMWQVUjpBI/AAAAAAAEH_k/zyG69FuhukM1mYA-wBlO1ggHrewiUsgigCLcBGAsYHQ/s320/Yangaapic.jpg)
Yassir Simba, Michuzi Tv Sakata la mchezaji wa Young Africans raia wa Ghana,Bernard Morrison limechukua sura mpya ambapo kupitia nakala iliyotolewa na kaimu katibu mkuu wa klabu ya Yanga Wakili Simon Patrick leo tarehe 24/06/2020 klabu ya Yanga imeamua kumkata kiasi cha shillingi 1,500,000 pesa taslimu ya kitanzania mchezaji huyo kutokana na kile kinachdaiwa na klabu hiyo kuwa mchezaji huyo alifanya mahojiano na chombo cha habari bila kufuata utaratibu uliowekwa na kabu.
Katika siku hizi...
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Nyota wa tenesi watinga robo fainali