Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Job Ndugai yuko wapi?

>Wananchi mbalimbali wamekuwa wakiuliza alipo Naibu Spika Job Ndugai, ambaye tangu kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Muungano hajaongoza kikao chochote kwani mara kadhaa chombo hicho kimekuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda anapokuwa na majukumu mengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais Pierre Nkurunziza yuko wapi?

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, inasemekana ameondoka nchini Tanzania saa moja baada ya kupatikana taarifa za kupinduliwa kwake

 

9 years ago

CCM Blog

NI JOB NDUGAI

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari mara baada ya Wabunge wa CCM kupitisha jisha la Spika.

Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu.
“Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea kura...

 

10 years ago

Raia Mwema

Yuko wapi Esta wa Wayahudi Tanzania atakayeliokoa taifa letu ?

OKTOBA mwaka huu, kutafanyika Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaoshirikisha vyama vingi.

Fred Mpendazoe

 

5 years ago

Michuzi

YANGA WATINGA BUNGENI BILA MSHAMBULIAJI NYOTA MORRISON....SPIKA NDUGAI AWAULIZA YUKO WAPO?

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.

Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango...

 

9 years ago

CCM Blog

SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI

Ashinda kura kwa asilimia 70 Ndugu Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushinda kura 254, Katika uchaguzi ambao wapiga kura walikuwa 365 zilizoharibika kura 2. .

 

10 years ago

IPPmedia

Deputy Speaker Job Ndugai


IPPmedia
Deputy Speaker Job Ndugai
IPPmedia
The National Assembly became especially charged yesterday, with lawmaker after lawmaker demanding that findings and recommendations by two public watchdog agencies on the Tegeta Escrow Account scandal allegations be immediately tabled in the ...

 

9 years ago

Mwananchi

Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11

Mbunge wa Kongwa (CCM) Job Ndugai ameshinda kiti cha Uspika kwa kura 264 sawa na asilimia 70 na hivyo kuwa Spika wa Bbunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

Ndugai lands House Speaker's job


Ndugai lands House Speaker's job
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
KONGWA Member of Parliament Job Yuston Ndugai (CCM) is the new Speaker of the National Assembly of the United Republic of Tanzania. View Comments. He was elected to the job following an in- House ballot involving all MPs present in which he ...

 

10 years ago

Vijimambo

NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AMPIGA MGOMBEA MWENZIE

Mbunge wa Kongwa aliyemaliza muda wake ambaye pia ni naibu spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amempiga mgombea mwenzie kwa nafasi ya ubunge, Dk. Joseph Chilongani kwa madai ya kumpiga picha wakati anafanya fujoTukio hilo limetokea jana jioni wakati wagombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM wakiwa kwenye mkutano na wanachama wa CCM kwa ajili ya kujinadi kwenye kata ya Ugogoni iliyopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma.Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo ambaye pia ni mdogo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani