NI JOB NDUGAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JKHzTtDIccM/Vkm6374H5hI/AAAAAAAArdA/st_qZygFbKI/s72-c/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari mara baada ya Wabunge wa CCM kupitisha jisha la Spika.
Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu.
“Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea kura...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s72-c/7.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s640/7.jpg)
10 years ago
IPPmedia21 Nov
Deputy Speaker Job Ndugai
IPPmedia
IPPmedia
The National Assembly became especially charged yesterday, with lawmaker after lawmaker demanding that findings and recommendations by two public watchdog agencies on the Tegeta Escrow Account scandal allegations be immediately tabled in the ...
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Job Ndugai yuko wapi?
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)18 Nov
Ndugai lands House Speaker's job
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
KONGWA Member of Parliament Job Yuston Ndugai (CCM) is the new Speaker of the National Assembly of the United Republic of Tanzania. View Comments. He was elected to the job following an in- House ballot involving all MPs present in which he ...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Spika wa Bunge, Job Ndugai Arejea Kutoka India
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu....
9 years ago
StarTV18 Nov
Job Ndugai achaguliwa kuwa spika, wabunge waapishwa
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza vikao vyake mjini Dodoma kwa kumchagua Job Ndugai wa Chama cha Mapinduzi CCM kuwa spika wa bunge hilo kati ya wagombea wenzake nane kutoka vyama vya upinzani waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
Ndugai amepata kura 254 akifuatiwa na Dokta Ole Medeye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA aliyepata kura 109 na wagombea wengine wakikosa kura yoyote.
Bunge la 11 limeanza vikao vyakao vyake majira ya 3 asubuhi kwa katibu wa bunge Dk...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kyz-u24gDlY/VbjGOWIKdOI/AAAAAAABS4k/i7vBFSYO4TM/s72-c/mtia%2Bnia.jpg)
NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AMPIGA MGOMBEA MWENZIE
![](http://3.bp.blogspot.com/-kyz-u24gDlY/VbjGOWIKdOI/AAAAAAABS4k/i7vBFSYO4TM/s640/mtia%2Bnia.jpg)
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA