NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AMPIGA MGOMBEA MWENZIE
![](http://3.bp.blogspot.com/-kyz-u24gDlY/VbjGOWIKdOI/AAAAAAABS4k/i7vBFSYO4TM/s72-c/mtia%2Bnia.jpg)
Mbunge wa Kongwa aliyemaliza muda wake ambaye pia ni naibu spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amempiga mgombea mwenzie kwa nafasi ya ubunge, Dk. Joseph Chilongani kwa madai ya kumpiga picha wakati anafanya fujoTukio hilo limetokea jana jioni wakati wagombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM wakiwa kwenye mkutano na wanachama wa CCM kwa ajili ya kujinadi kwenye kata ya Ugogoni iliyopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma.Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo ambaye pia ni mdogo wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/sdf.jpg)
NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AMPIGA MGOMBEA MWENZIE HADI KUZIMIA
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s72-c/7.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s640/7.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Spika wa Bunge, Job Ndugai Arejea Kutoka India
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu....
9 years ago
StarTV18 Nov
Job Ndugai achaguliwa kuwa spika, wabunge waapishwa
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza vikao vyake mjini Dodoma kwa kumchagua Job Ndugai wa Chama cha Mapinduzi CCM kuwa spika wa bunge hilo kati ya wagombea wenzake nane kutoka vyama vya upinzani waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
Ndugai amepata kura 254 akifuatiwa na Dokta Ole Medeye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA aliyepata kura 109 na wagombea wengine wakikosa kura yoyote.
Bunge la 11 limeanza vikao vyakao vyake majira ya 3 asubuhi kwa katibu wa bunge Dk...
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-LJTY2gBB0/Vkr8v6jnujI/AAAAAAAIGXM/Cw_-L8a8wgY/s72-c/NaibuSpikaNdundai.jpg)
BREAKING NYUZZZ.......: JOB NDUGAI NDIYE SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-LJTY2gBB0/Vkr8v6jnujI/AAAAAAAIGXM/Cw_-L8a8wgY/s640/NaibuSpikaNdundai.jpg)
Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na kumtaka aongoze vyema bunge hilo.
Job Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-03BMbnlI4mw/VPdm7VFD8EI/AAAAAAAAcZY/dr-X45BV2Hc/s72-c/Untitled.png)