SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefika Hospitalini Dodoma kumjulia hali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliyelazwa hapo baada ya kushambuliwa usiku wa kumkia leo na watu wasiojulikana.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-LJTY2gBB0/Vkr8v6jnujI/AAAAAAAIGXM/Cw_-L8a8wgY/s72-c/NaibuSpikaNdundai.jpg)
BREAKING NYUZZZ.......: JOB NDUGAI NDIYE SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-LJTY2gBB0/Vkr8v6jnujI/AAAAAAAIGXM/Cw_-L8a8wgY/s640/NaibuSpikaNdundai.jpg)
Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na kumtaka aongoze vyema bunge hilo.
Job Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s72-c/7.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s640/7.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Spika wa Bunge, Job Ndugai Arejea Kutoka India
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu....
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lqYGzljIAv8/Xt5eUADfZ7I/AAAAAAALtGU/kg0_RJ2iyPYO90OI74umcF1mOJC0MmEbQCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bbunge.jpg)
WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11
![](https://1.bp.blogspot.com/-lqYGzljIAv8/Xt5eUADfZ7I/AAAAAAALtGU/kg0_RJ2iyPYO90OI74umcF1mOJC0MmEbQCLcBGAsYHQ/s400/pic%252Bbunge.jpg)
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.
Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lqYGzljIAv8/Xt5eUADfZ7I/AAAAAAALtGU/kg0_RJ2iyPYO90OI74umcF1mOJC0MmEbQCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bbunge.jpg)
WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.
Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AONGOZA MAWAZIRI, KAMISHNA TRA WALIPOTEMBELEA SHULE YA WASICHANA BUNGE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aO5vz8FcUJs/XoX-_PQhr4I/AAAAAAAC83E/4Kt2jao1l7gfKNBRObdJU6Y-3_RlsCvqACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vZH8C4fYdbk/XoX-_MenScI/AAAAAAAC83A/RsqprOr-lrwsBQmZwBql05Jd_X2YHE0XQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kyz-u24gDlY/VbjGOWIKdOI/AAAAAAABS4k/i7vBFSYO4TM/s72-c/mtia%2Bnia.jpg)
NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AMPIGA MGOMBEA MWENZIE
![](http://3.bp.blogspot.com/-kyz-u24gDlY/VbjGOWIKdOI/AAAAAAABS4k/i7vBFSYO4TM/s640/mtia%2Bnia.jpg)