Ndugai Spika wa Bunge la 11
MBUNGE wa Kongwa mkoani Dodoma, Job Yustino Ndugai (55) ndiye Spika mpya wa Bunge atakayeongoza Bunge la 11 lililoanza mkutano wake wa kwanza jana. Ndugai, ambaye ni Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichaguliwa kwa kishindo, akitwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wengine saba kutoka vyama vya siasa kwa kupata asilimia 70 ya kura zote zilizopigwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s72-c/7.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s640/7.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Spika wa Bunge, Job Ndugai Arejea Kutoka India
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pn9hlcwUrXA/VmAM7Q4kRuI/AAAAAAAIJ84/80H8XK4bdLU/s72-c/Hellen%2B1.jpg)
Spika Ndugai aongoza maelfu kuuaga mwili wa Mkurugenzi wa Bunge
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pn9hlcwUrXA/VmAM7Q4kRuI/AAAAAAAIJ84/80H8XK4bdLU/s640/Hellen%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
SPIKA NDUGAI AONGOZA BUNGE LA 11 MKUTANO WA 19 KIKAO CHA KWANZA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-1-bAA-1024x740.jpg)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-2AA-2-1024x764.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-3AA-1024x761.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_Vt9Odm6hk/XlUGygwWhWI/AAAAAAALfQQ/vCnuELX_9hoPz5X5kTktxx9d89kz5EsaQCLcBGAsYHQ/s72-c/9fd996c4-37de-4b31-a9de-2ad3fde86fa3.jpg)
Spika Ndugai ampeleka Jafo Site Inapojengwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_Vt9Odm6hk/XlUGygwWhWI/AAAAAAALfQQ/vCnuELX_9hoPz5X5kTktxx9d89kz5EsaQCLcBGAsYHQ/s640/9fd996c4-37de-4b31-a9de-2ad3fde86fa3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/06833f9d-6925-43b8-baec-c51f495e6ce8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3ce92159-40e2-47c4-a8f2-2d73cf048295.jpg)
***************************
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amempeleka Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo eneo inapojengwa shule maalumu ya wasichana itakayojulikana kama Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge inayojengwa katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma
Akiwa katika eneo hilo la ujenzi Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amesema ni vyema Waziri anayehusika na uendeshaji na usimamizi wa shule akajua mapema sehemu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n2EOEy8Ng30/XnOLc8WI-nI/AAAAAAALkeY/ZFAQJQ7bTDAwbNbR0Nfs2kUJqm6PK4EQACLcBGAsYHQ/s72-c/41bb23c3-4588-4ec2-98d6-bdb0b89bcbf5.jpg)
SPIKA NDUGAI ASIMAMISHA ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUEPUKA CORONA, AZIRUDISHA DODOMA
KATIKA kuhakikisha inafuata utaratibu uliotolewa na Wizara ya Afya kwa kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai ameziagiza kamati zote za Bunge za kisekta kusitisha ziara zao.
Spika Ndugai amezitaka pia kamati hizo ambazo zipo kwenye mikoa mbalimbali nchini zikikagua miradi kusitisha ziara hizo na kurejea jijini Dodoma mara moja.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dodoma leo, Spika Ndugai amesema...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10