Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndugai Spika wa Bunge la 11

MBUNGE wa Kongwa mkoani Dodoma, Job Yustino Ndugai (55) ndiye Spika mpya wa Bunge atakayeongoza Bunge la 11 lililoanza mkutano wake wa kwanza jana. Ndugai, ambaye ni Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichaguliwa kwa kishindo, akitwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wengine saba kutoka vyama vya siasa kwa kupata asilimia 70 ya kura zote zilizopigwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CCM Blog

SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI

Ashinda kura kwa asilimia 70 Ndugu Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushinda kura 254, Katika uchaguzi ambao wapiga kura walikuwa 365 zilizoharibika kura 2. .

 

9 years ago

Mwananchi

Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11

Mbunge wa Kongwa (CCM) Job Ndugai ameshinda kiti cha Uspika kwa kura 264 sawa na asilimia 70 na hivyo kuwa Spika wa Bbunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Global Publishers

Spika wa Bunge, Job Ndugai Arejea Kutoka India

Ndugai (1)Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.Ndugai (2)Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu....

 

5 years ago

CCM Blog

SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefika Hospitalini Dodoma kumjulia hali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliyelazwa hapo baada ya kushambuliwa usiku wa kumkia leo na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA ALIKOKUWA KWA AJILI YA MATIBABU. AWASHUKURU WATANZANIA KWA MAOMBI YAO. AELEZEA HALI YAKE KUWA NI IMARA KABISA. Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard...

 

9 years ago

Michuzi

Spika Ndugai aongoza maelfu kuuaga mwili wa Mkurugenzi wa Bunge

Marehemu Hellen Stephen Mbebha wakati wa uhai wake.Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) akiweka shada la maua juu ya kaburi la aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi Shughuli za Bunge Marehem Hellen Mbebha.Katibu wa Bunge la Tanzania Dkt. Thomas Kashilillah akitoa heshima za mwisho kwa kwa mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi Shughuli za Bunge Marehem Hellen Mbebha ambapo mazishi yake yalifanyika katika kijiji cha Kung’ombe wilayani Bunda mkoa wa Mara tarehe 01/12/2015. Aliyesimama ni...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AONGOZA BUNGE LA 11 MKUTANO WA 19 KIKAO CHA KWANZA JIJINI DODOMA


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia  kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiteta jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi wakati wa Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni Jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia  kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.

 

5 years ago

Michuzi

Spika Ndugai ampeleka Jafo Site Inapojengwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge






***************************

Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amempeleka Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo eneo inapojengwa shule maalumu ya wasichana itakayojulikana kama Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge inayojengwa katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma

Akiwa katika eneo hilo la ujenzi Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amesema ni vyema Waziri anayehusika na uendeshaji na usimamizi wa shule akajua mapema sehemu...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ASIMAMISHA ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUEPUKA CORONA, AZIRUDISHA DODOMA

Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kuhakikisha inafuata utaratibu uliotolewa na Wizara ya Afya kwa kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai ameziagiza kamati zote za Bunge za kisekta kusitisha ziara zao.

Spika Ndugai amezitaka pia kamati hizo ambazo zipo kwenye mikoa mbalimbali nchini zikikagua miradi kusitisha ziara hizo na kurejea jijini Dodoma mara moja.

Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dodoma leo, Spika Ndugai amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani