SPIKA NDUGAI ASIMAMISHA ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUEPUKA CORONA, AZIRUDISHA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n2EOEy8Ng30/XnOLc8WI-nI/AAAAAAALkeY/ZFAQJQ7bTDAwbNbR0Nfs2kUJqm6PK4EQACLcBGAsYHQ/s72-c/41bb23c3-4588-4ec2-98d6-bdb0b89bcbf5.jpg)
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kuhakikisha inafuata utaratibu uliotolewa na Wizara ya Afya kwa kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai ameziagiza kamati zote za Bunge za kisekta kusitisha ziara zao.
Spika Ndugai amezitaka pia kamati hizo ambazo zipo kwenye mikoa mbalimbali nchini zikikagua miradi kusitisha ziara hizo na kurejea jijini Dodoma mara moja.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dodoma leo, Spika Ndugai amesema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSPIKA NDUGAI AONGOZA VIONGOZI MKOA WA DODOMA KUKAGUA UJENZI WA SHULE YA WASICHANA YA BUNGE MKOANI DODOMA
5 years ago
MichuziSPIKA JOB NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI, AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na waandishi wa habari katika kikao kilichofanyika leo nyumbani kwake uzunguni Jijini Dodoma. Mmoja ya agenda ya kikao hicho ilikuwa ni kupokea Mapendekezo ya Mabadiliko ya Ratiba ya Mkutano wa 19 wa Bunge.
Wajumbe kamati ya uongozi wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa ili kupokea Mapendekezo ya Mabadiliko ya Ratiba ya Mkutano wa 19 wa Bunge leo nyumbani kwake uzunguni Jijini Dodoma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
SPIKA NDUGAI AONGOZA BUNGE LA 11 MKUTANO WA 19 KIKAO CHA KWANZA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-1-bAA-1024x740.jpg)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-2AA-2-1024x764.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-3AA-1024x761.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AKABIDHIWA MASHINE MAALUM YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s640/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-3-bAA-1024x774.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-4AA-1024x761.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AONGOZA MAWAZIRI, KAMISHNA TRA WALIPOTEMBELEA SHULE YA WASICHANA BUNGE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aO5vz8FcUJs/XoX-_PQhr4I/AAAAAAAC83E/4Kt2jao1l7gfKNBRObdJU6Y-3_RlsCvqACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vZH8C4fYdbk/XoX-_MenScI/AAAAAAAC83A/RsqprOr-lrwsBQmZwBql05Jd_X2YHE0XQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9JlL1qf062o/Xmt7LfuwnhI/AAAAAAALi5o/zwaSesFl_CscV67oqXAb0QQgFJV6rIspACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1AA-768x630.jpg)
SPIKA NDUGAI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA DODOMA, MKURUGENZI HALMASHAURI YA TEMEKE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9JlL1qf062o/Xmt7LfuwnhI/AAAAAAALi5o/zwaSesFl_CscV67oqXAb0QQgFJV6rIspACLcBGAsYHQ/s640/Pic-1AA-768x630.jpg)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-2AA-1-1024x713.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-3AAA-1-1024x643.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Nov
Ndugai Spika wa Bunge la 11
MBUNGE wa Kongwa mkoani Dodoma, Job Yustino Ndugai (55) ndiye Spika mpya wa Bunge atakayeongoza Bunge la 11 lililoanza mkutano wake wa kwanza jana. Ndugai, ambaye ni Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichaguliwa kwa kishindo, akitwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wengine saba kutoka vyama vya siasa kwa kupata asilimia 70 ya kura zote zilizopigwa.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s72-c/7.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gd1LiVlCUA8/Vkr5_kBUxEI/AAAAAAAArgk/r7Owvg6wzBs/s640/7.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10