Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5eqithGxiHX5xiA0sRmjlhemEBwJyJukv5S5sX0Gc3PnZ-8bpVe8wPuoSPI8TgP8GTCHLG7u3ewhrBcvtqWq-*/kikosi.jpg?width=650)
Kikosi Yanga kitakachoenda Rwanda hiki hapa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmri2Kr-k1Y/VTksNiI7BFI/AAAAAAAAIqw/rmEm6UaLBTU/s72-c/Yanga-vs-Etoile-du-Sahel-1-e1429432765972.jpg)
Kilichoing'oa Yanga kwa Etoile hiki hapa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmri2Kr-k1Y/VTksNiI7BFI/AAAAAAAAIqw/rmEm6UaLBTU/s1600/Yanga-vs-Etoile-du-Sahel-1-e1429432765972.jpg)
Katika mechi ya kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 18, timu hizo zilitoka sare ya 1-1, hivyo matokeo ya juzi yalimaanisha kuwa Yanga imeng'oka kwa jumla ya mabao 2-1.
Yanga ilifika...
9 years ago
StarTV19 Aug
YANGA SC YAACHANA NA DILUNGA ‘KWA HERI’, KIKOSI CHAENDELEA NA MAKAMUZI MBEYA
YANGA SC imeachana na kiungo wake Hassan Dilunga, ambaye anahamia Stand United ya Shinyanga.
Katibu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE asubuhi ya leo kwamba, wamefikia makubaliano na mchezaji huyo aliyesajiliwa msimu uliopita kutoka Ruvu Shooting kuvunja Mkataba bila masharti.
Hassan Dilunga sasa si mchezaji wa Yanga SC tena
WALIOTOKA NA KUINGIA YANGA SC
Waliotemwa; Hassan Dilunga, Nizar Khalfan, Danny Mrwanda, Said Bahanuzi, Hamisi Thabit, Omega Seme na...
11 years ago
GPLKIKOSI CHA YANGA MECHI YA LEO
11 years ago
GPL![](http://desyernest.com/shaffihdauda/wp-content/uploads/2014/04/MMG29776-610x400.jpg?width=610)
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC
10 years ago
GPLKIKOSI CHA YANGA KITAKACHOKWAANA NA PRISONS LEO
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga