Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

SIMBA-YANGA-3.jpg
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Kikosi Yanga kitakachoenda Rwanda hiki hapa

Wachezaji wa timu ya Yanga, SC. Wilbert Molandi na Hans Mloli
IMEFAHAMIKA kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amepanga kukitumia kikosi cha pili kwenye michuano ya Kombe la Kagame ambayo inatarajiwa kuanza Agosti 8, mwaka huu nchini Rwanda.
Gazeti hili limegundua hilo kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, jana. Katika mazoezi hayo, Maximo alitenga...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0

 Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa (17) akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius wakati wa mtanange wao wa Ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kufanika hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika hivi punde na Yanga wanaongoza kwa Bao 1-0 lililotiwa kimiani na Mrisho Ngassa,dakika ya 15 ya mchezo kipindi cha kwanza.  Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius akijiandaa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kilichoing'oa Yanga kwa Etoile hiki hapa.

Safari ya Tanzania katika michuano ya kimataifa mwaka huu ilihitimishwa juzi usiku baada ya Yanga kutolewa kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Etoile Sportive du Sahel (ESS) katika mechi ya marudiano ya hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Sousse, Tunisia.

Katika mechi ya kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 18, timu hizo zilitoka sare ya 1-1, hivyo matokeo ya juzi yalimaanisha kuwa Yanga imeng'oka kwa jumla ya mabao 2-1.

Yanga ilifika...

 

9 years ago

StarTV

YANGA SC YAACHANA NA DILUNGA ‘KWA HERI’, KIKOSI CHAENDELEA NA MAKAMUZI MBEYA

YANGA SC imeachana na kiungo wake Hassan Dilunga, ambaye anahamia Stand United ya Shinyanga.
Katibu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE asubuhi ya leo kwamba, wamefikia makubaliano na mchezaji huyo aliyesajiliwa msimu uliopita kutoka Ruvu Shooting kuvunja Mkataba bila masharti.

Hassan Dilunga sasa si mchezaji wa Yanga SC tena
WALIOTOKA NA KUINGIA YANGA SC
Waliotemwa; Hassan Dilunga, Nizar Khalfan, Danny Mrwanda, Said Bahanuzi, Hamisi Thabit, Omega Seme na...

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA MECHI YA LEO

LINE-UP: Deogratias Munish "Dida" – 30, Mbuyu Twite – 6,  Oscar Joshua – 4,  Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 (C), Kelvin Yondani "Cotton" – 6, Frank Domayo "Chumvi" – 18, Saimon Msuva – 27, Haruna Niyonzima – 8, Emmanuel Okwi – 25,  Mrisho Ngasa – 17,  Hamisi Kizza - 20 SUBS: Juma Kaseja – 1, Juma Abdul – 12, David Luhende – 3, Athuman...

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC

1. Deo Munish “Dida” – 30 2. Mbuyu Twite – 6 3. Oscar Joshua – 4 4. Nadir Haroub “Cannavaro” – 23 5. Kelvin Yondani – 5 6. Frank Domayo – 18 7. Saimon Msuva – 27 8. Hassan Dilunga – 26 9. Didier Kavumbagu – 7 10. Mrisho Ngasa – 17 11. Hamis Kizza – 20 Subs: 1. Barthez, 2.Job, 3. Zahir, 4.Telela, 5.Nizar, 6....

 

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOKWAANA NA PRISONS LEO

Kikosi cha Yanga SC. 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Edward Charles - 28
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5…

 

11 years ago

Mwananchi

Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga

Mechi ya kirafiki ya Nani Mtani Jembe, inamuumiza kichwa Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic ambaye hadi kufikia jana alikuwa hajapata kikosi kitakachocheza na Yanga kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani