Kilichoing'oa Yanga kwa Etoile hiki hapa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmri2Kr-k1Y/VTksNiI7BFI/AAAAAAAAIqw/rmEm6UaLBTU/s72-c/Yanga-vs-Etoile-du-Sahel-1-e1429432765972.jpg)
Safari ya Tanzania katika michuano ya kimataifa mwaka huu ilihitimishwa juzi usiku baada ya Yanga kutolewa kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Etoile Sportive du Sahel (ESS) katika mechi ya marudiano ya hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Sousse, Tunisia.
Katika mechi ya kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 18, timu hizo zilitoka sare ya 1-1, hivyo matokeo ya juzi yalimaanisha kuwa Yanga imeng'oka kwa jumla ya mabao 2-1.
Yanga ilifika...
Vijimambo