Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC

1. Deo Munish “Dida” – 30 2. Mbuyu Twite – 6 3. Oscar Joshua – 4 4. Nadir Haroub “Cannavaro” – 23 5. Kelvin Yondani – 5 6. Frank Domayo – 18 7. Saimon Msuva – 27 8. Hassan Dilunga – 26 9. Didier Kavumbagu – 7 10. Mrisho Ngasa – 17 11. Hamis Kizza – 20 Subs: 1. Barthez, 2.Job, 3. Zahir, 4.Telela, 5.Nizar, 6....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga

Mechi ya kirafiki ya Nani Mtani Jembe, inamuumiza kichwa Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic ambaye hadi kufikia jana alikuwa hajapata kikosi kitakachocheza na Yanga kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA MECHI YA LEO

LINE-UP: Deogratias Munish "Dida" – 30, Mbuyu Twite – 6,  Oscar Joshua – 4,  Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 (C), Kelvin Yondani "Cotton" – 6, Frank Domayo "Chumvi" – 18, Saimon Msuva – 27, Haruna Niyonzima – 8, Emmanuel Okwi – 25,  Mrisho Ngasa – 17,  Hamisi Kizza - 20 SUBS: Juma Kaseja – 1, Juma Abdul – 12, David Luhende – 3, Athuman...

 

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO

1. MWADINI ALI
2. SHOMARI KAPOMBE
3. ERASTO NYONI
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. BOLOU MICHAEL
7. MUDATHIR YAHYA
8. FRANK DOMAYO
9. DIDIER KAVUMBAGU
10. KIPRE…

 

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOKWAANA NA PRISONS LEO

Kikosi cha Yanga SC. 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Edward Charles - 28
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5…

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

SIMBA-YANGA-3.jpg
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kikosi cha kwanza Simba shakani

Ni wazi kuwa kocha mkuu wa Simba, Dyran Kerr na benchi lake la ufundi wameshapata kikosi chao cha kwanza kwa ajili ya Ligi Kuu, lakini wana kazi ya ziada kuelekeza mfumo wa 4-4-2 ambao umeonekana kutoeleweka vizuri hadi sasa kwa wachezaji wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Kopunovic: Sina kikosi cha kwanza Simba

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wake na kufanikiwa kufuzu kwa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

9 years ago

Bongo5

Abdul Kiba adai kuitwa na kikosi cha Simba kufanyiwa majaribio

Abdul Kiba amedai ameitwa na klabu ya Simba ili kufanya majaribio ya kuichezea timu hiyo. Akizungumza na Bongo5 jana, Abdul Kiba alisema ikitokea atapewa nafasi ya kuichezea timu hiyo atacheza. “Yeah bana nimeitwa na Simba, mimi ni mchezaji sio kocha, kwahiyo ukisikia nimeitwa ujue ni kuhusu kucheza. Bado sijakaa nao chini na kuzungumza ila nikifanikiwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani