Kikosi cha kwanza Simba shakani
Ni wazi kuwa kocha mkuu wa Simba, Dyran Kerr na benchi lake la ufundi wameshapata kikosi chao cha kwanza kwa ajili ya Ligi Kuu, lakini wana kazi ya ziada kuelekeza mfumo wa 4-4-2 ambao umeonekana kutoeleweka vizuri hadi sasa kwa wachezaji wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Kopunovic: Sina kikosi cha kwanza Simba
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Nadir atoswa kikosi cha kwanza
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Pluijim: Sijapata kikosi cha kwanza
KOCHA wa Yanga Hans Pluijim amesema mpaka sasa bado hajapata kikosi cha kwanza, huku akiwataka mashabiki wa klabu hiyo kumpa muda mshambuliaji wao mpya raia wa Zimbabwe Donald Ngoma ili aweze kuonyesha uwezo wake zaidi.
Pluijm alisema alitaka michezo mingi ya kirafiki kabla ya michuano ya Kagame inayotarajia kuanza Jumamosi hii, ili aweze kupata kombinesheni nzuri kwa wachezaji wapya na wazamani pamoja na kupata kikosi cha kwanza.
Akizungumza mara baada ya mchezo wao wa kirafiki wa...
11 years ago
GPL
Pluijm amrudisha Chuji kikosi cha kwanza
11 years ago
GPL
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga
10 years ago
GPLKIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO
9 years ago
Bongo512 Oct
Abdul Kiba adai kuitwa na kikosi cha Simba kufanyiwa majaribio
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...