Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm amrudisha Chuji kikosi cha kwanza

Kocha mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amempokea kwa mikono miwili kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’,  baada ya kuvutiwa na kiwango chake na inawezakana akamtumia katika mechi ya Klabu Bingwa Afrika Jumamosi. Tangu Pluijm achukue mikoba ya kuifundisha Yanga alikuwa hajawahi kumwona mchezaji huyo uwanjani kutokana na kuwa amesimamishwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amelazimika kumrudisha kundini haraka beki wake Kelvin Yondani kutokana na kikosi chake kukumbwa na uhaba wa mabeki wa kati.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Pluijim: Sijapata kikosi cha kwanza

KOCHA wa Yanga Hans Pluijim amesema mpaka sasa bado hajapata kikosi cha kwanza, huku akiwataka mashabiki wa klabu hiyo kumpa muda mshambuliaji wao mpya raia wa Zimbabwe Donald Ngoma ili aweze kuonyesha uwezo wake zaidi.

Pluijm alisema alitaka michezo mingi ya kirafiki kabla ya michuano ya Kagame inayotarajia kuanza Jumamosi hii, ili aweze kupata kombinesheni nzuri kwa wachezaji wapya na wazamani pamoja na kupata kikosi cha kwanza.

Akizungumza mara baada ya mchezo wao wa kirafiki wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Nadir atoswa kikosi cha kwanza

Kila shetani na mbuyu wake! Kocha mpya wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amemchomoa rasmi katika kikosi cha wachezaji 11 wa kwanza beki mkongwe wa timu hiyo, Nadir Haroub ‘Canavaro’.

 

9 years ago

Mwananchi

Kikosi cha kwanza Simba shakani

Ni wazi kuwa kocha mkuu wa Simba, Dyran Kerr na benchi lake la ufundi wameshapata kikosi chao cha kwanza kwa ajili ya Ligi Kuu, lakini wana kazi ya ziada kuelekeza mfumo wa 4-4-2 ambao umeonekana kutoeleweka vizuri hadi sasa kwa wachezaji wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Kopunovic: Sina kikosi cha kwanza Simba

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wake na kufanikiwa kufuzu kwa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

SIMBA-YANGA-3.jpg
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga

Mbio za ubingwa zimemfanya kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm kufumua kikosi chake akidai hatavumilia mchezaji atakayeonyesha kiwango kibovu hata kama ni nyota kwa kiasi gani.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm: Yanga itamaliza duru la kwanza ikiwa juu

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema ana uhakika kikosi chake kitamaliza duru la kwanza la Ligi Kuu Tanzania Bara kikiongoza ligi hiyo. Akizungumza na gazeti hili, Pluijm raia wa Uholanzi, alisema anajua changamoto zinazowakabili katika kutetea taji lao msimu huu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanapambana nazo na kupata wanachokitaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani