Pluijm: Yanga itamaliza duru la kwanza ikiwa juu
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema ana uhakika kikosi chake kitamaliza duru la kwanza la Ligi Kuu Tanzania Bara kikiongoza ligi hiyo. Akizungumza na gazeti hili, Pluijm raia wa Uholanzi, alisema anajua changamoto zinazowakabili katika kutetea taji lao msimu huu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanapambana nazo na kupata wanachokitaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
FRELIMO chashinda duru ya kwanza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVedTbLBU*hmHNaKe8FD-DL4jdqDKLPkIV6TIciChRt5Pr10aPCweMJCtWUfmvQjTKrmst6gWrwsDsKDJbZIIeli/PRESHA.jpg?width=650)
Pluijm, Loga presha juu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnLHR-3vQB2LhWGzFsGC36R1V3oIk6ElhtoPdIUoR5y8j5Hikfh*Mvtx3Go6AonEVAjd2NrohzpZmD4Ky*C-Fb7L/kochayanga.jpg?width=650)
Pluijm amrudisha Chuji kikosi cha kwanza
10 years ago
Mtanzania28 May
Pluijm ashtuka Yanga
JENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WAKATI klabu ya Yanga ikiendelea kusajili nyota wake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo Mholanzi, Hans Van der Pluijm, amewashtukia viongozi wa timu hiyo akieleza anahisi baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hadi sasa hakuwapendekeza katika ripoti yake.
Klabu hiyo hadi sasa imefanikiwa kupata saini za wachezaji watatu ambao ni Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City, Haji Mwinyi wa Zanzibar na Benedicto Tinoco kutoka Kagera...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Pluijm: Yanga bingwa
KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...
10 years ago
TheCitizen17 Dec
SOCCER: Pluijm in, Maximo out at Yanga
11 years ago
Mwananchi27 May
Pluijm adai mshahara Yanga
9 years ago
Mtanzania04 Dec
11 Yanga wamshusha presha Pluijm
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amechekelea hatua ya kurejea kikosini kwa nyota wake waliokuwa kwenye timu za Taifa zilizoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji nchini Ethiopia, ambapo amedai sasa ndoto ya kutetea taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaweza kutekelezeka.
Kurejea kwa nyota hao kumesaidia kumshusha presha Pluijm, ambaye awali alidai kuwa michuano hiyo imemtibulia mipango yake kutokana na mikakati aliyojiwekea ya kuhakikisha anawapa...