FRELIMO chashinda duru ya kwanza
Matokeo ya kwanza ya uchaguzi mkuu nchini Msumbiji umempa mgombea wa chama tawala cha FRELIMO ushindi wa duru ya kwanza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Nov
Pluijm: Yanga itamaliza duru la kwanza ikiwa juu
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema ana uhakika kikosi chake kitamaliza duru la kwanza la Ligi Kuu Tanzania Bara kikiongoza ligi hiyo. Akizungumza na gazeti hili, Pluijm raia wa Uholanzi, alisema anajua changamoto zinazowakabili katika kutetea taji lao msimu huu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanapambana nazo na kupata wanachokitaka.
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Kituo cha Radio 5 chashinda nafasi ya kwanza maonyesho ya Nanenane Arusha
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akikabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa kwanza kwa upande wa Radio na wapili katika sekta nzima ya mawasiliano katika kilele cha sherehe za sikukuu ya Wakulima nanenane na maonyesho ya kilimo Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika uwanja wa maonyeshoThemi Mkoani Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja masoko na...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78514000/jpg/_78514189_78514146.jpg)
Frelimo wins Mozambique elections
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Sudan.K: Duru ya pili ya mazungumzo
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Sudan:K:Duru ya pili ya Mazungumzo
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Duru ya pili uchaguzi Indonesia.
10 years ago
Habarileo01 Nov
CCM yaipongeza Frelimo kutoa Rais
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa chama cha FRELIMO cha Msumbiji kwa kushinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo na kumpata Rais Mteule Filipe Nyusi. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema hayo jana na kueleza kuwa chama hicho na CCM ni vyama ndugu vyenye historia ya pamoja ya ukombozi kusini mwa Afrika.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Mshindi Argentina kuamuliwa duru ya pili
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Uchaguzi kuingia duru ya pili Brazil