Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FRELIMO chashinda duru ya kwanza

Matokeo ya kwanza ya uchaguzi mkuu nchini Msumbiji umempa mgombea wa chama tawala cha FRELIMO ushindi wa duru ya kwanza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Pluijm: Yanga itamaliza duru la kwanza ikiwa juu

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema ana uhakika kikosi chake kitamaliza duru la kwanza la Ligi Kuu Tanzania Bara kikiongoza ligi hiyo. Akizungumza na gazeti hili, Pluijm raia wa Uholanzi, alisema anajua changamoto zinazowakabili katika kutetea taji lao msimu huu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanapambana nazo na kupata wanachokitaka.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha Radio 5 chashinda nafasi ya kwanza maonyesho ya Nanenane Arusha

 

unnamed

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akikabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa kwanza kwa upande wa Radio na wapili katika sekta nzima ya mawasiliano katika kilele cha sherehe za sikukuu ya Wakulima nanenane na maonyesho ya kilimo Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika uwanja wa maonyeshoThemi Mkoani Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed (1)

Meneja masoko na...

 

10 years ago

BBC

Frelimo wins Mozambique elections

Mozambique's next president will be Filipe Nyusi from the governing Frelimo party, provisional results from last week's general election show.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan.K: Duru ya pili ya mazungumzo

Mazungumzo ya kusitisha mapigano nchini Sudan Kusini kati ya Waasi na serikali yataanza tena leo mjini Adis Ababa Ethiopia baada ya mkataba wa kwanza kutotiliwa maanani

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan:K:Duru ya pili ya Mazungumzo

Duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya waasi na serikali nchini Sudan Kusini imeanza Ethiopia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Duru ya pili uchaguzi Indonesia.

Kutakuwa na duru ya pili ya uchaguzi katika kipindi cha wiki mbili zinazokuja kwenye uchaguzi wa urais nchini Indonesia.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yaipongeza Frelimo kutoa Rais

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa chama cha FRELIMO cha Msumbiji kwa kushinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo na kumpata Rais Mteule Filipe Nyusi. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema hayo jana na kueleza kuwa chama hicho na CCM ni vyama ndugu vyenye historia ya pamoja ya ukombozi kusini mwa Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshindi Argentina kuamuliwa duru ya pili

Wapiga kura nchini Argentina watashiriki duru ya pili ya uchaguzi mwezi ujao baada ya kukosekana kwa mshindi wa moja kwa moja katika duru ya kwanza Jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi kuingia duru ya pili Brazil

Rais Dilma Roussef ameshinda awamu ya kwanza ya kura, lakini bado hajapata ushindi unaozuia kuwepo kwa duru ya pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani