CCM yaipongeza Frelimo kutoa Rais
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa chama cha FRELIMO cha Msumbiji kwa kushinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo na kumpata Rais Mteule Filipe Nyusi. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema hayo jana na kueleza kuwa chama hicho na CCM ni vyama ndugu vyenye historia ya pamoja ya ukombozi kusini mwa Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI KWA TIKETI YA FRELIMO AKUTANA NA RAIS KIKWETE
![](https://4.bp.blogspot.com/-495iYNZsaHw/U7_-WCu_E0I/AAAAAAAAn-k/o7I_O6g6xLA/s1600/1.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-3L9QGfMhup0/U7_-YigraGI/AAAAAAAAn-s/z8dW0HLucak/s1600/2.jpg)
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Je CCM ya Kikwete inaweza kutoa rais bora?
SIKU moja Socrates aliwasha mishumaa mia moja mchana na akachukua meza na kwenda kukaa kwenye nji
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Lipumba: CCM hakiwezi kutoa rais mwadilifu
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema CCM hakina kiongozi mwadilifu atakayeweza kupeperusha bendera ya nchi, kutokana na viongozi wake kugubikwa na ufisadi.
10 years ago
Vijimambo31 Oct
CCM YAPOKEA KWA FURAHA FRELIMO KUIBUKA ,MSHINDI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MSUMBUJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-44CbdeNFgqw/VFNS_ZdcTCI/AAAAAAAArlo/PyZd3qoOi24/s1600/NAPE.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa furaha Chama cha Frelimo kuibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka huu.
Katika uchaguzi huo, aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Frelimo, Filipe Nyusi ameibuka kidedea na sasa ndiye Rais Mteule wa Msumbiji ambaye baada ya kuapishwa atashika mikoba itaakayoachwa na Rais anayemaliza muda wake, Armando Gwebuza.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,...
10 years ago
Vijimambo20 Sep
FRELIMO WATUA NCHI TANZANIA NA KUKUTANA NA UONGOZI WA CCM TAIFA,MWIGULU NCHEMBA AZUNGUMZA NAO
![](https://scontent-b-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10703749_296987587170143_7867035330298045379_n.jpg?oh=e120582ed182ff65411707c6981c1581&oe=5492F3F9)
![](https://scontent-b-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10422370_296987723836796_2636631546379702589_n.jpg?oh=8a48f295973479ba35c93359073b6902&oe=5495D04A)
10 years ago
Michuzi31 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_SqCwDwAqRU/VmbNmzNYdhI/AAAAAAADDW4/ewj6LJZslSI/s72-c/3.jpg)
CCM YAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KASI ILIYOANZA NAYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_SqCwDwAqRU/VmbNmzNYdhI/AAAAAAADDW4/ewj6LJZslSI/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jTR07eed49Y/VmbNlwk9jhI/AAAAAAADDWs/xSFwtaP4YvM/s640/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/fUheMbn-YCI/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania