Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba: CCM hakiwezi kutoa rais mwadilifu

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema CCM hakina kiongozi mwadilifu atakayeweza kupeperusha bendera ya nchi, kutokana na viongozi wake kugubikwa na ufisadi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Rais bora hawezi kutoka CCM

>Siku kadhaa tangu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete kuwatahadharisha wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC), ya chama hicho kwamba wanapaswa kumteua mgombea wa urais anayekubalika ndani na nje ya chama hicho, Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kauli hiyo haina ukweli.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yaipongeza Frelimo kutoa Rais

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa chama cha FRELIMO cha Msumbiji kwa kushinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo na kumpata Rais Mteule Filipe Nyusi. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema hayo jana na kueleza kuwa chama hicho na CCM ni vyama ndugu vyenye historia ya pamoja ya ukombozi kusini mwa Afrika.

 

10 years ago

Raia Mwema

Je CCM ya Kikwete inaweza kutoa rais bora?

SIKU moja Socrates aliwasha mishumaa mia moja mchana na akachukua meza na kwenda kukaa kwenye nji

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Michuzi

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO

Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na Kawe. 
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...

 

5 years ago

Michuzi

RIPOTI YA CAG YAWAIBUA CUF, PROFESA LIPUMBA AAMUA KUTOA UFAFANUZI WA FEDHA ZA RUZUKU MILIONI 300 ZILIZOHAMISHIWA AKAUNTI BINAFSI

Na  Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

SIKU moja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kukabidhi ripoti ya ukaguzi wake ya 2018/19 kwa Rais John Magufuli , Chama cha Wananchi( CUF) kimeamua kujitetea baada ya ripoti hiyo kubaibainisha Chama hicho kilihamisha kwa fedha kutoka akaunti ya Chama hicho kwenda akaunti binafsi.

Akizungumza leo Machi 27,2020 ,Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba ametumia nafasi hiyo kuwaeleza waandishi wa habari hatua...

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba adai JK alitishwa CCM

Ziara ya siku 12 ya viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge, imeibua mengi kuhusu Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unaendelea nchini.

 

9 years ago

GPL

LIPUMBA SASA RASMI CCM

Richard Manyota na Oscar Ndauka SIKU chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Haruna Lipumba kujiuzulu wadhifa wake huo, sasa mwanasiasa huyo mtaalamu wa mambo ya uchumi ametajwa waziwazi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Uwazi Mizengwe ya Uchaguzi limedokezwa....Soma zaidi====>http://bit.ly/1UH6HT2

 

10 years ago

TheCitizen

Lipumba: I haven’t taken bribe from CCM

The former Civic United Front (CUF) national chairman, Prof Ibrahim Lipumba, said on Saturday that together with NCCR-Mageuzi presidential aspirant, Dr George Kahangwa, they agreed to let Dr Willibrod Slaa, be Ukawa presidential front man before the former premier, Edward Lowassa came into the picture.

 

11 years ago

TheCitizen

Lipumba targets CCM ‘clique’

>The CUF national chairman, Professor Ibrahim Lipumba, has accused people who are opposing the Second Draft Constitution of being “corrupt power mongers from the ruling CCM.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani