Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan:K:Duru ya pili ya Mazungumzo

Duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya waasi na serikali nchini Sudan Kusini imeanza Ethiopia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sudan.K: Duru ya pili ya mazungumzo

Mazungumzo ya kusitisha mapigano nchini Sudan Kusini kati ya Waasi na serikali yataanza tena leo mjini Adis Ababa Ethiopia baada ya mkataba wa kwanza kutotiliwa maanani

 

10 years ago

BBCSwahili

Duru ya pili uchaguzi Indonesia.

Kutakuwa na duru ya pili ya uchaguzi katika kipindi cha wiki mbili zinazokuja kwenye uchaguzi wa urais nchini Indonesia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi kuingia duru ya pili Brazil

Rais Dilma Roussef ameshinda awamu ya kwanza ya kura, lakini bado hajapata ushindi unaozuia kuwepo kwa duru ya pili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshindi Argentina kuamuliwa duru ya pili

Wapiga kura nchini Argentina watashiriki duru ya pili ya uchaguzi mwezi ujao baada ya kukosekana kwa mshindi wa moja kwa moja katika duru ya kwanza Jumapili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Malawi kuingia kwenye duru ya pili ya uchaguzi baada ya matokeo ya mwaka jana kutupiliwa mbali

Rais aliye madarakani Peter Mutharika alitangazwa mshindi Mei 2019 baada ya kupata ushindi mdogo wa asilimia 38.5 ya kura zote zilizokuwa zimepigwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Awamu ya pili ya mazungumzo ya Syria

Awamu ya pili ya mazungumzo kati ya makundi ya upinzani katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria yameanza rasmi huko Geneva hii leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Sudan Kusini yakwama

Matumaini ya kupatikana kwa amani Sudan Kusini yameingia mashakani baada ya mazungumzo ya uso kwa uso ya pande zinazopingana yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika nchini Ethiopia kuchelewa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan K:Mazungumzo yatibuka Ethiopia

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar watakutana Jumanne katika juhudi za kumaliza mzozo wa kisiasa ambao umekumba nchi hiyo kwa miezi sita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Sudan.K kufanyika Ethiopia

Pande zinazozozana nchini Sudan Kusini zinatarajiwa kufanya mazungumzo zaidi nchini Ethiopia hivi leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani