Sudan:K:Duru ya pili ya Mazungumzo
Duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya waasi na serikali nchini Sudan Kusini imeanza Ethiopia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Sudan.K: Duru ya pili ya mazungumzo
Mazungumzo ya kusitisha mapigano nchini Sudan Kusini kati ya Waasi na serikali yataanza tena leo mjini Adis Ababa Ethiopia baada ya mkataba wa kwanza kutotiliwa maanani
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Duru ya pili uchaguzi Indonesia.
Kutakuwa na duru ya pili ya uchaguzi katika kipindi cha wiki mbili zinazokuja kwenye uchaguzi wa urais nchini Indonesia.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Uchaguzi kuingia duru ya pili Brazil
Rais Dilma Roussef ameshinda awamu ya kwanza ya kura, lakini bado hajapata ushindi unaozuia kuwepo kwa duru ya pili.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Mshindi Argentina kuamuliwa duru ya pili
Wapiga kura nchini Argentina watashiriki duru ya pili ya uchaguzi mwezi ujao baada ya kukosekana kwa mshindi wa moja kwa moja katika duru ya kwanza Jumapili.
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Malawi kuingia kwenye duru ya pili ya uchaguzi baada ya matokeo ya mwaka jana kutupiliwa mbali
Rais aliye madarakani Peter Mutharika alitangazwa mshindi Mei 2019 baada ya kupata ushindi mdogo wa asilimia 38.5 ya kura zote zilizokuwa zimepigwa.
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Awamu ya pili ya mazungumzo ya Syria
Awamu ya pili ya mazungumzo kati ya makundi ya upinzani katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria yameanza rasmi huko Geneva hii leo.
11 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mazungumzo ya Sudan Kusini yakwama
Matumaini ya kupatikana kwa amani Sudan Kusini yameingia mashakani baada ya mazungumzo ya uso kwa uso ya pande zinazopingana yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika nchini Ethiopia kuchelewa.
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Sudan K:Mazungumzo yatibuka Ethiopia
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar watakutana Jumanne katika juhudi za kumaliza mzozo wa kisiasa ambao umekumba nchi hiyo kwa miezi sita.
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Mazungumzo ya Sudan.K kufanyika Ethiopia
Pande zinazozozana nchini Sudan Kusini zinatarajiwa kufanya mazungumzo zaidi nchini Ethiopia hivi leo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania