Pluijm, Loga presha juu
![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVedTbLBU*hmHNaKe8FD-DL4jdqDKLPkIV6TIciChRt5Pr10aPCweMJCtWUfmvQjTKrmst6gWrwsDsKDJbZIIeli/PRESHA.jpg?width=650)
Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge LIGI Kuu Bara inaanza rasmi kesho Jumamosi lakini inaonekana siku hizo mbili zitakuwa ngumu na zenye presha ya juu kwa makocha wa Yanga na Simba ambao ni wageni. Yanga inayotokea Uturuki leo, itashuka dimbani Uwanja wa Taifa kesho kuivaa Ashanti United, kabla ya Simba kucheza dhidi ya Rhino ya Tabora, Jumapili kwenye uwanja huo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Dec
11 Yanga wamshusha presha Pluijm
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amechekelea hatua ya kurejea kikosini kwa nyota wake waliokuwa kwenye timu za Taifa zilizoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji nchini Ethiopia, ambapo amedai sasa ndoto ya kutetea taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaweza kutekelezeka.
Kurejea kwa nyota hao kumesaidia kumshusha presha Pluijm, ambaye awali alidai kuwa michuano hiyo imemtibulia mipango yake kutokana na mikakati aliyojiwekea ya kuhakikisha anawapa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I-Wq0P4fNHcSwxqZoNcYnMuaewg*JnqtJbCYcLaxsVElCj-zFyurkfXRyzV-cS3Q6Xx33SedzeUaUHraaXJrbs/loga.gif?width=650)
Loga, Pluijm wasimamishwa kufundisha ligi kuu
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Presha juu CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYRX9Ew6q-avW4ijolt3X0LAgMjqSfpptUWg8kU8rAJLH67eWlWX6HaYLW9*fPVtQ5oSjY8PBrtkkWTqSl*A-*k/55.jpg?width=750)
WASHIRIKI PRESHA JUU IJUMAA SEXIEST BCHELOR
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Arsenal, Man Utd, City, Chelsea presha juu
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Ndanda yamtupia virago Kitambi, makocha presha juu
9 years ago
Habarileo01 Nov
Pluijm: Yanga itamaliza duru la kwanza ikiwa juu
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema ana uhakika kikosi chake kitamaliza duru la kwanza la Ligi Kuu Tanzania Bara kikiongoza ligi hiyo. Akizungumza na gazeti hili, Pluijm raia wa Uholanzi, alisema anajua changamoto zinazowakabili katika kutetea taji lao msimu huu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanapambana nazo na kupata wanachokitaka.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Magufuri presha juu — hasira nje nje
Leo baada ya kupata na kuonja joto ya jiwe alipojaribu kutaka kuhutubia wakati akiwa njiani ,kwa kweli si jambo alilolitegemea kabisa na uhakika hakuamini wala kufikiri kama yaliyotokea mbele ya macho na masikio yake yangeweza kutokea […]
The post Magufuri presha juu – hasira nje nje appeared first on Mzalendo.net.