Presha juu CCM
 Wakati vikao vya juu vya CCM vya kuchuja wagombea urais vikianza leo, hofu na wasiwasi umezidi kutanda miongoni mwa wagombea, viongozi na wanachama wa chama hicho kuhusu namna ya kuikabili minyukano baina ya wagombea hao na kibarua cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVedTbLBU*hmHNaKe8FD-DL4jdqDKLPkIV6TIciChRt5Pr10aPCweMJCtWUfmvQjTKrmst6gWrwsDsKDJbZIIeli/PRESHA.jpg?width=650)
Pluijm, Loga presha juu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYRX9Ew6q-avW4ijolt3X0LAgMjqSfpptUWg8kU8rAJLH67eWlWX6HaYLW9*fPVtQ5oSjY8PBrtkkWTqSl*A-*k/55.jpg?width=750)
WASHIRIKI PRESHA JUU IJUMAA SEXIEST BCHELOR
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Arsenal, Man Utd, City, Chelsea presha juu
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Ndanda yamtupia virago Kitambi, makocha presha juu
10 years ago
Habarileo12 Aug
Presha ya ubunge CCM yapanda
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza kurudiwa kwa kura za maoni kesho katika majimbo matano nchini, kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mchakato wa upigaji kura hizo.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Magufuri presha juu — hasira nje nje
Leo baada ya kupata na kuonja joto ya jiwe alipojaribu kutaka kuhutubia wakati akiwa njiani ,kwa kweli si jambo alilolitegemea kabisa na uhakika hakuamini wala kufikiri kama yaliyotokea mbele ya macho na masikio yake yangeweza kutokea […]
The post Magufuri presha juu – hasira nje nje appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jLloq0WUJQg/VNjjVGDnwqI/AAAAAAAAs64/KvQxUEh6Z5k/s72-c/9H.jpg)
HAKUNA MGOMBEA ATAKAYEPITISHWA CCM KWA PRESHA ZA MAKUNDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jLloq0WUJQg/VNjjVGDnwqI/AAAAAAAAs64/KvQxUEh6Z5k/s1600/9H.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0011.jpg)
NHC ILIVYOIBEBA JUU KWA JUU ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWENYE SEKTA YA NYUMBA
![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200603-WA0011.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vMD6kV8lvdg/XuHDHoKb0AI/AAAAAAACM78/DhEGE66AshUO8Q_RVZlkQvir3hqoAnFqgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200602-WA0049.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) ni moja ya mashirika ambayo ni nguzo ya Serikali ya Awamu ya Tano katika uteketezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inayoliongoza taifa kuelekea kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Mwandishi maalum ambaye amekuwa akimulika mwenendo wa utendaji wa taasisi na mashirika ya umma, amefanya...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu
NA BASHIR NKOROMO
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...