Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Presha juu CCM

 Wakati vikao vya juu vya CCM vya kuchuja wagombea urais vikianza leo, hofu na wasiwasi umezidi kutanda miongoni mwa wagombea, viongozi na wanachama wa chama hicho kuhusu namna ya kuikabili minyukano baina ya wagombea hao na kibarua cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Pluijm, Loga presha juu

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
LIGI Kuu Bara inaanza rasmi kesho Jumamosi lakini inaonekana siku hizo mbili zitakuwa ngumu na zenye presha ya juu kwa makocha wa Yanga na Simba ambao ni wageni. Yanga inayotokea Uturuki leo, itashuka dimbani Uwanja wa Taifa kesho kuivaa Ashanti United, kabla ya Simba kucheza dhidi ya Rhino ya Tabora, Jumapili kwenye uwanja huo.… ...

 

10 years ago

GPL

WASHIRIKI PRESHA JUU IJUMAA SEXIEST BCHELOR

PRESHA inazidi kupanda kwa washiriki waliobaki katika tatu bora huku kila mmoja akitaka kuonekana kuwa anafaa kuwa Ijumaa Sexiest Bchelor. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' (ISB 01) . Washiriki watatu (pichani) ndiyo walioingia fainali ambapo kilele kitakuwa ni Desemba 25, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar mshindi atapatikana.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Arsenal, Man Utd, City, Chelsea presha juu

England Wakati ratiba ya hatua ya mtoano wa Ligi ya Mabingwa inapangwa leo klabu nne za England, Chelsea, Manchester City, Arsenal na Manchester United zimekuwa kwenye presha kubwa kujua wapinzani wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda yamtupia virago Kitambi, makocha presha juu

Baada ya kupokea vipigo vitatu mfululizo uongozi wa Ndanda FC ya Mtwara imemtupia virago kocha wake, Denis Kitambi pamoja na kocha wa makipa, Mwarlami Mohamed.

 

10 years ago

Habarileo

Presha ya ubunge CCM yapanda

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza kurudiwa kwa kura za maoni kesho katika majimbo matano nchini, kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mchakato wa upigaji kura hizo.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Magufuri presha juu — hasira nje nje

Leo baada ya kupata na kuonja joto ya jiwe alipojaribu kutaka kuhutubia wakati akiwa njiani ,kwa kweli si jambo alilolitegemea kabisa na uhakika hakuamini wala kufikiri kama yaliyotokea mbele ya macho na masikio yake yangeweza kutokea […]

The post Magufuri presha juu – hasira nje nje appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA MGOMBEA ATAKAYEPITISHWA CCM KWA PRESHA ZA MAKUNDI

NA BASHIR NKOROMO
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...

 

5 years ago

CCM Blog

NHC ILIVYOIBEBA JUU KWA JUU ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWENYE SEKTA YA NYUMBA

Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Dk. Maulid BanyaniNyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) eneo la Iyumbu mkoani Dodoma.

NA MWANDISHI MAALUM
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) ni moja ya mashirika ambayo ni nguzo ya Serikali ya Awamu ya Tano katika uteketezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inayoliongoza taifa kuelekea kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Mwandishi maalum ambaye amekuwa akimulika mwenendo wa utendaji wa taasisi na mashirika ya umma, amefanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu

NA BASHIR NKOROMO

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani