Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuri presha juu — hasira nje nje

Leo baada ya kupata na kuonja joto ya jiwe alipojaribu kutaka kuhutubia wakati akiwa njiani ,kwa kweli si jambo alilolitegemea kabisa na uhakika hakuamini wala kufikiri kama yaliyotokea mbele ya macho na masikio yake yangeweza kutokea […]

The post Magufuri presha juu – hasira nje nje appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mariah Carey — kufuli nje nje kwenye show ya China (Picha)

Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani Asia. Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si […]

 

10 years ago

Bongo5

Ch*chu nje nje: Huddah apost picha za aibu kwenye Instagram!

Huddah Monroe anafahamika kwa maisha yake controversial hivyo si jambo la ajabu kwa followers wake wa Instagram kumuona akila bata kwenye beach za Ulaya huku akiwa na nguo inayoonesha nipples zake! Jionee mwenyewe! Nipples nje nje! Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose […]

 

10 years ago

Mwananchi

MAISHA: Ngono, bangi ‘nje nje’ mgodini Ihanzutwa-2

>Maisha nje ya shughuli za uchimbaji wa madini katika eneo hili yamegubikwa na vitendo vya uhalifu vikiwamo uuzaji na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na biashara ya ngono. Sasa endelea…

 

10 years ago

GPL

MUHIMBILI VIFO NJE NJE KISA DAWA HAKUNA

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’I
NATISHA! Uhaba mkubwa wa madawa, ongezeko la ada ya kitanda na chakula katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, umesababisha watu wengi kupoteza maisha kufuatia wagonjwa kukosa huduma na hivyo kurejea majumbani mwao. Baadhi ya wagonjwa wakiwa katika moja ya wodi za Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa baada ya Bohari Kuu ya Madawa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngono, bangi ‘nje nje’ mgodini Ihanzutwa

Wengi huisikia dhahabu, sifa zake na thamani yake. wenye fedha zao hununua vidani vya madini hayo adimu ulimwenguni na kujirembesha, lakini wale maskini kujikuta wakivaa vidani yaliyotiwa tu nakshi ya madini hayo, huku asilimia kubwa vikiwa vimetengenzwa kwa bati.

 

10 years ago

Mwananchi

SIASA: Vita ya urais CCM nje nje

>Wakati joto la urais likizidi kupanda ndani ya CCM kutokana na hofu ya baadhi ya majina mazito ya wagombea wa nafasi hiyo kukatwa kwa mizengwe, vita vya wagombea sasa ni dhahiri baada ya mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM kusema hakuna mtu atakayekatwa bila ya sababu za msingi.

 

10 years ago

Mtanzania

Sura mpya Chadema, Mdee juu, Abwao nje

SURA MPYA CHADEMA

SURA MPYA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO

KATIKA hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Uchaguzi Mkuu wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeonekana kuwa wenye mchuano mkali huku majina ya wanasiasa wenye ushawishi katika chama hicho waliojitokeza kuwania nafasi za uongozi yakishindwa kutamba.

Mwenendo huo unaochukua mwelekeo wa kuwepo mapinduzi ya kiuongozi ndani ya jumuiya za chama hicho, ulijitokeza jana wakati wa uchaguzi wa viongozi wapya wa Baraza la Wanawake wa chama...

 

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAHAMASISHANA JUU YA FURSA ZILIZOPO NDANI NA NJE YA NCHI

Mwenyekiti na mwanzilishi wa kikundi cha vijana cha Tanzania Youth Network (TYN), Agnes Mgongo akizungumza na vijana mara baada ya kukutana  katika ukumbi wa Don Bosco  jijini Dar es Salaam leo.Afisa vijana  wa wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo, Racheal Kasanda akizungumza na vijana mbalimbali waliounda kikundi kiitwacho Tanzania Youth Network (TYN), wakijadili changamoto mbalimbali zinazowakumba vijana pamoja na vijana kuunda vikundi mbalimbali ili kutumia fursa zilizopo hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani