VIJANA WAHAMASISHANA JUU YA FURSA ZILIZOPO NDANI NA NJE YA NCHI
Mwenyekiti na mwanzilishi wa kikundi cha vijana cha Tanzania Youth Network (TYN), Agnes Mgongo akizungumza na vijana mara baada ya kukutana katika ukumbi wa Don Bosco jijini Dar es Salaam leo.
Afisa vijana wa wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo, Racheal Kasanda akizungumza na vijana mbalimbali waliounda kikundi kiitwacho Tanzania Youth Network (TYN), wakijadili changamoto mbalimbali zinazowakumba vijana pamoja na vijana kuunda vikundi mbalimbali ili kutumia fursa zilizopo hapa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
DC KANGOYE: Vijana tumieni fursa za kiuchumi zilizopo kujiajiri
MATAIFA mengi duniani hutegemea vijana katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa. Sehemu zote yalipofanyika mageuzi ya kiuchumi, vijana walijitolea nguvu zao katika taifa husika. Vijana wengi wanaomaliza elimu ya...
10 years ago
GPLWAKALA WA HUDUMA ZA AJIRA ATANGAZA UTARATIBU WA KUZINGATIA KUUNGANISHWA NA FURSA NJE YA NCHI
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-USsI6xBR_20/VYvzIqUE-sI/AAAAAAAHj7g/PpMGlgdQ2Pc/s72-c/IMG_2871.jpg)
MJENGWA KUUNGANISHA WATANZANIA WAISHIO NJE NA NDANI YA NCHI
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini , Dar es Salaam, Mratibu wa Watu Waishio Ughaibuni (Diaspora),Maggid Mjengwa amesema kutokana na kutambua uwepo watu milioni mbili wako nje nchi ambao wanatakiwa kushirikishwa katika masuala mbalilmbali yanayoendelea...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s72-c/_MG_8020.jpg)
Mama janeth magufuli akonga nyoyo za watanzania ndani na nje ya nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s640/_MG_8020.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Changamkieni fursa zilizopo’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s72-c/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
Kitengo cha uhandisi Mitambo kuhakikisha viwango vya bidhaa zinazalishwa ndani na nje ya nchi
*Miradi ya Ujenzi mbalimbali wa Serikali unatumia bidhaa za Viwanda vya ndani kutokana Viwango kufikiwa
Na Ripota wetu-Michuzi TV.
Kitengo Cha Uhandisi wa Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kimesema kuwa Nondo, Bati na Misumari na bidhaa zingine za kiuhandisi zimekuwa na viwango na kukubalika katika Kanda mbalimbali
Akizungumza na michuzi Tv Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa TBS Joseph Mwaipaja amesema kuwa tangu...