MJENGWA KUUNGANISHA WATANZANIA WAISHIO NJE NA NDANI YA NCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-USsI6xBR_20/VYvzIqUE-sI/AAAAAAAHj7g/PpMGlgdQ2Pc/s72-c/IMG_2871.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWATANZANIA walioko Ughaibuni wanatakiwa kuelezwa vitu ambavyo vitawafanya watanzania nchini kutambua umuhimu wa watu katika masuala mbalimbali ikiwemo uchumi.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini , Dar es Salaam, Mratibu wa Watu Waishio Ughaibuni (Diaspora),Maggid Mjengwa amesema kutokana na kutambua uwepo watu milioni mbili wako nje nchi ambao wanatakiwa kushirikishwa katika masuala mbalilmbali yanayoendelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWatanzania Waishio Nje ya Nchi sasa Kupata Filamu za Kitanzania Kupitia Mtandao
10 years ago
GPL10 Sep
FRANCIA CHENGULA AZUNGUMZIA UPIGAJI KURA KWA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI SASA KUPATA FILAMU ZA KITANZANIA KUPITIA MTANDAO
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAWATAKA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI 'DIASPORA' KUKOPA MIKOPO YA NYUMBA
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s72-c/_MG_8020.jpg)
Mama janeth magufuli akonga nyoyo za watanzania ndani na nje ya nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s640/_MG_8020.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Apr
Waishio nje ya nchi kutopiga kura
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya kufikiwa kwa hatua hiyo.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Watanzania waishio nje kupiga kura
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zLlWbCPFzmo/VSqCYHH2IJI/AAAAAAABLLk/gi0jTpDHVuA/s72-c/Mizengo-Pinda.jpg)
PINDA - WATANZANIA WAISHIO NJE KUTOPIGA KURA OKTOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zLlWbCPFzmo/VSqCYHH2IJI/AAAAAAABLLk/gi0jTpDHVuA/s1600/Mizengo-Pinda.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya zoezi hilo kufanyika.
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumamosi, Aprili 11, 2015) wakati akizungumza na baadhi ya Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Balozi Peter...