PINDA - WATANZANIA WAISHIO NJE KUTOPIGA KURA OKTOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zLlWbCPFzmo/VSqCYHH2IJI/AAAAAAABLLk/gi0jTpDHVuA/s72-c/Mizengo-Pinda.jpg)
*Waziri Mkuu aomba Watanzania waiombee nchi yao. (Picha na Maktaba yetu)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya zoezi hilo kufanyika.
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumamosi, Aprili 11, 2015) wakati akizungumza na baadhi ya Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Balozi Peter...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2MlV9bAG_IM/VSpR93FB8EI/AAAAAAAC3DI/JLJsOAlHqS4/s72-c/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda.jpg)
WATANZANIA WAISHIO NJE KUTOPIGA KURA OKTOBA - PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2MlV9bAG_IM/VSpR93FB8EI/AAAAAAAC3DI/JLJsOAlHqS4/s1600/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya zoezi hilo kufanyika.
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumamosi, Aprili 11, 2015) wakati akizungumza na baadhi ya Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Balozi Peter Kallaghe, yaliyoko Highgate,...
10 years ago
Habarileo13 Apr
Waishio nje ya nchi kutopiga kura
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya kufikiwa kwa hatua hiyo.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Watanzania waishio nje kupiga kura
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Pinda: Watanzania waishio ughaibuni hawatapiga kura
MWANDISHI WETU, LONDON
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Alisema pamoja na kwamba Watanzania hao wanatakiwa kupiga kura wakati wa uchaguzi huo, jambo hilo halitawezekana kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya uchaguzi huo.
Waziri Mkuu Pinda alitoa kauli hiyo jana kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter...
10 years ago
GPL10 Sep
FRANCIA CHENGULA AZUNGUMZIA UPIGAJI KURA KWA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
11 years ago
Habarileo08 Apr
Askofu TAG ataja sababu za Watanzania kutopiga kura
SERIKALI imeshauriwa kuangalia upya siku za upigaji kura katika uchaguzi zake mbalimbali zinazowahusisha wananchi wote hususani zile za udiwani, ubunge na urais ili kuhamasisha wananchi wengi zaidi kujitokeza.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO OMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zxl8Yt4IeaE/VFIozdrCgwI/AAAAAAAGuKI/4qzQIaI9wEE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZfOZseSK6c/VFIozmAHiOI/AAAAAAAGuKM/OBWPz8mP2R4/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR