SERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
SERIKALI leo imetoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa vibali vya kusafirisha mazao kwenda nje ya nchi ambapo imesisitiza kuwa vibali hivyo vinapatikana bila gharama na hakuna urasimu wowote.
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA Safari za Rais Kikwete Nje ya Nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA SAFARI ZA RAIS KIKWETE NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Serikali yatoa vibali vya madini kwa wananchi
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga amesema, serikali imekuwa ikitoa vibali vya uchimbaji wa madini kwa wananchi wanaohitaji kufanya hivyo, pindi inapogundua kuna maeneo yana madini.
9 years ago
MichuziSerikali yatoa Ufafanuzi juu ya uzushi wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tatu
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
TCRA yatoa ufafanuzi juu ya tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari Septemba 11
Taarifa kwa Vyombo vya Habari_13_09_2015.pdf
11 years ago
Habarileo24 Dec
SUMATRA yatoa vibali vya dharura 75 vya mabasi
JUMLA ya vibali vya dharura 75 vya mabasi vimetolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la usafiri kipindi hiki cha sikukuu huku hali ya usafiri katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo ikizidi kuwa ngumu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrx7dAk4dBzPodL0NpZJsXgbXFr0*Fl-kj7Yur8a9-yb1Ig*w0TbVQ3LA7yI0jculjqtN8EIgVY942*l5NUBka1B/2Pichana3.jpg?width=650)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YATOA ANGALIZO KWA MAKAMPUNI YANAYOAJILI WAFANYAKAZI WENGI KUTOKA NJE YA NCHI
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Mahafali ya 49 chuo cha CBE yafana, Serikali yatoa angalizo kwa makampuni yanayoajiri wafanyakazi wengi kutoka nje ya nchi
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam akiimba wimbo wa Taifa wakati wa ufunguzi rasmi wa mahafali hayo jijini Dar es salaam. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Mathew Luhanga (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emanuel Mjema.
Na. Aron Msigwa – Dar es salaam.
SERIKALI imewataka watendaji na wamiliki wa...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Wadau wa kilimo EAC walilia kuuza mazao nje ya nchi