WIZARA YATOA UFAFANUZI WA Safari za Rais Kikwete Nje ya Nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA SAFARI ZA RAIS KIKWETE NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wizara yatolea ufafanuzi Safari za Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete Nje ya Nchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete.
Taarifa kwa Vyombo vya Habari -Ziara za Rais .docx
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGANA NA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nJwvyh8hWOU/XotED81AG9I/AAAAAAALmNw/d9QnGhMnb3QCg-egNxg1JIwgzsTEhlpEwCLcBGAsYHQ/s72-c/SEQUIP_06.jpg)
10 years ago
Michuzi24 Oct
11 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s72-c/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Wizara ya afya yatoa ufafanuzi maswali ya Wananchi kuhusu Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s640/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema amekuwa akipokea maoni, maswali na ushauri kutoka kwa wananchi wakitaka kujua jitihada mbalimbali za Serikali za kukabiliana na homa kali ya mapafu na amewaagiza wataalamu wake kuanza kujibu maswali.
Waziri Ummy amesema maswali, maoni na ushauri huo unatoka kwa wananchi kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na kituo cha wizara cha kupokea simu kuhusu ugonjwa wa homa ya...