Wizara ya Elimu yatoa Ufafanuzi Mradi wa SEQUIP
![](https://1.bp.blogspot.com/-nJwvyh8hWOU/XotED81AG9I/AAAAAAALmNw/d9QnGhMnb3QCg-egNxg1JIwgzsTEhlpEwCLcBGAsYHQ/s72-c/SEQUIP_06.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s72-c/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Wizara ya afya yatoa ufafanuzi maswali ya Wananchi kuhusu Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s640/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema amekuwa akipokea maoni, maswali na ushauri kutoka kwa wananchi wakitaka kujua jitihada mbalimbali za Serikali za kukabiliana na homa kali ya mapafu na amewaagiza wataalamu wake kuanza kujibu maswali.
Waziri Ummy amesema maswali, maoni na ushauri huo unatoka kwa wananchi kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na kituo cha wizara cha kupokea simu kuhusu ugonjwa wa homa ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA Safari za Rais Kikwete Nje ya Nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA SAFARI ZA RAIS KIKWETE NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5ZbsAa-EGfc/VhO8HxncKOI/AAAAAAAH9TQ/HSksf3Ip_yk/s72-c/Pix%2B1.jpg)
TCRA YATOA ELIMU KWA MENEJIMENTI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5ZbsAa-EGfc/VhO8HxncKOI/AAAAAAAH9TQ/HSksf3Ip_yk/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aqkFCsG6rtw/VhO8HwEiHdI/AAAAAAAH9TI/mH9_O0MEVWw/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATOA ELIMU YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA WAANDISHI WA HABARI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GLDDPJXVlpk/Xs5vIx_5xWI/AAAAAAALrv4/maDgdDmF9zw9P3AG9yo1ponBdXtVikCagCLcBGAsYHQ/s72-c/213.jpg)
SMZA YAFAFANUA ILIVYOFANIKIWA KUKABILIANA KWA KIASI KIKUBWA NA CORONA,YATOA MAELEKEZO WIZARA YA ELIMU NA AFYA
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imechukuwa uamuzi wa kulegeza baadhi ya mambo mambo kumi yaliyowekwa baada ya kufanikiwa kukabiliana kwa kiasi kikubwa na mripuko wa Virusi vya Coroma vilivyoleta mtafaruki katika Mataifa mbali mbali Duniani.Uamuzi huo wa SMZ Unaungana na ule uliochukuliwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa kuviruhusu Vyuo vyote vya Elimu ya juu kuendelea na Programu zao kama kawaida kwa upande wa Zanzibar kuanzia Tarehe 1 Juni 2020.Akitoa Taarifa ya Serikali...
9 years ago
Habarileo24 Oct
Ujiji yatoa ufafanuzi malipo ya walimu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imesema malipo ya madai mbalimbali yaliyofanywa kwa walimu wa manispaa hiyo yalifanyiwa uhakika wa kutosha na kujiridhisha kwamba waliolipwa ndiyo wanaostahili.
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Uhamiaji yatoa ufafanuzi ajira zilizositishwa
>Wizara ya Mambo ya Ndani imetoa ufafanuzi kuhusu ajira zilizositishwa na kusema siyo zile zilizoandikwa na vyombo mbalimbali vya habari jana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania