Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhamiaji yatoa ufafanuzi ajira zilizositishwa

>Wizara ya Mambo ya Ndani imetoa ufafanuzi kuhusu ajira zilizositishwa na kusema siyo zile zilizoandikwa na vyombo mbalimbali vya habari jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ajira za kindugu Uhamiaji moto

SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti kashfa ya Uhamiaji kudaiwa kutoa ajira kwa kuwapendelea watoto na ndugu wa vigogo wa idara hiyo, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhamiaji yamwaga ajira kindugu

IDARA ya Uhamiaji imekumbwa na kashfa nyingine ya kuajiri watoto na ndugu wa vigogo wa idara hiyo. Hayo yalibainika baada ya idara hiyo kutoa matangazo katika vyombo mbalimbali vya habari...

 

10 years ago

Mwananchi

Uhamiaji msirudie kutoa ajira za upendeleo

Kufutwa kwa ajira 200 za konstebo na koplo katika Idara ya Uhamiaji mwishoni mwa Agosti, mwaka huu kutokana na kutolewa kwa upendeleo, bila shaka kutakuwa kumetoa fursa kwa wahusika kujipima kama kweli wanafaa kuendelea kushikilia nyadhifa zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara yafuta ajira 200 za Uhamiaji

Wizara ya Mambo ya Ndani imefuta ajira 200 za konstebo na koplo katika Idara ya Uhamiaji baada ya kubaini kuwa kulikuwa na upendeleo katika usaili na sasa zitatangazwa upya na kusimamiwa na wizara hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Ajira 200 Uhamiaji zafutwa rasmi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka  Abdulwakil

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakil

Patricia Kimelemeta na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefuta ajira  200 za uhamiaji zikiwamo  28 kutoka Zanzibar kutokana na madai mbalimbali yakiwamo ya watumishi wa idara hiyo kuajiri   ndugu na jamaa zao.

“Tumefuta ajira za watu 200 zikiwamo 28 kutoka Zanzibar za idara ya uhamiaji kwa nafasi ya konstebo na koplo ambazo zilizotangazwa na vyombo   vya habari nchini,” alisema Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Waliogawa ajira kindugu Uhamiaji walindwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil.
Serikali imeshindwa kuwachukulia hatua watumishi wa Idara ya Uhamiaji nchini waliohusika na ajira 200 za upendeleo kwa nafasi ya Konstebo na Koplo, licha ya kamati ya uchunguzi iliyoundwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, kubaini kashfa hiyo.

Katika uchunguzi wake, kamati hiyo ilibaini kuwa walioitwa katika ajira hizo walikuwa ni ndugu na jamaa za maafisa wa idara hiyo.

Hata hivyo, akizungumza na NIPASHE jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajira za upendeleo haziko Uhamiaji pekee

Kufutwa kwa ajira 200 za konstebo na koplo katika Idara ya Uhamiaji hivi karibuni ni hatua ambayo bila shaka imewashangaza wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani