Uhamiaji yatoa ufafanuzi ajira zilizositishwa
>Wizara ya Mambo ya Ndani imetoa ufafanuzi kuhusu ajira zilizositishwa na kusema siyo zile zilizoandikwa na vyombo mbalimbali vya habari jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi29 Jul
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Ajira za kindugu Uhamiaji moto
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti kashfa ya Uhamiaji kudaiwa kutoa ajira kwa kuwapendelea watoto na ndugu wa vigogo wa idara hiyo, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Uhamiaji yamwaga ajira kindugu
IDARA ya Uhamiaji imekumbwa na kashfa nyingine ya kuajiri watoto na ndugu wa vigogo wa idara hiyo. Hayo yalibainika baada ya idara hiyo kutoa matangazo katika vyombo mbalimbali vya habari...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Uhamiaji msirudie kutoa ajira za upendeleo
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Wizara yafuta ajira 200 za Uhamiaji
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Ajira 200 Uhamiaji zafutwa rasmi
![Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakil](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Mbaraka-Abdulwakil.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakil
Patricia Kimelemeta na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefuta ajira 200 za uhamiaji zikiwamo 28 kutoka Zanzibar kutokana na madai mbalimbali yakiwamo ya watumishi wa idara hiyo kuajiri ndugu na jamaa zao.
“Tumefuta ajira za watu 200 zikiwamo 28 kutoka Zanzibar za idara ya uhamiaji kwa nafasi ya konstebo na koplo ambazo zilizotangazwa na vyombo vya habari nchini,” alisema Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Waliogawa ajira kindugu Uhamiaji walindwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbarak-22Jan2015.jpg)
Serikali imeshindwa kuwachukulia hatua watumishi wa Idara ya Uhamiaji nchini waliohusika na ajira 200 za upendeleo kwa nafasi ya Konstebo na Koplo, licha ya kamati ya uchunguzi iliyoundwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, kubaini kashfa hiyo.
Katika uchunguzi wake, kamati hiyo ilibaini kuwa walioitwa katika ajira hizo walikuwa ni ndugu na jamaa za maafisa wa idara hiyo.
Hata hivyo, akizungumza na NIPASHE jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Ajira za upendeleo haziko Uhamiaji pekee
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidV1MKik9O9iogXWw6TlHeu5nAI8wvAVrgp6eRLfixztFChpUocJTUZhvebgDT1MSjCpBwmn*Kef*T9drAB*-wJ6/235269300KUSITISHWAKWAAJIRAZAKONSTEBONAKOPLOWAUHAMIAJI.jpg?width=650)