Ujiji yatoa ufafanuzi malipo ya walimu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imesema malipo ya madai mbalimbali yaliyofanywa kwa walimu wa manispaa hiyo yalifanyiwa uhakika wa kutosha na kujiridhisha kwamba waliolipwa ndiyo wanaostahili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SWao2D0yDpk/U_dojK2WAnI/AAAAAAAGBec/rKrd2ifPCRA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Serikali yatoa ufafanuzi malipo ya mishahara ya watumishi ya mwezi Julai
![](http://2.bp.blogspot.com/-SWao2D0yDpk/U_dojK2WAnI/AAAAAAAGBec/rKrd2ifPCRA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FKFXP-ppbBU/U_dolD_hMZI/AAAAAAAGBek/W7fya7AVUfE/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
9 years ago
Habarileo18 Dec
ACT Wazalendo yatoa Meya Kigoma Ujiji
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji limemchagua Diwani wa Kata ya Bangwe, Hussien Ruhavi kuwa Meya wa manispaa hiyo. Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) akiahidi kumshughulikia diwani yeyote atakayekwamisha mipango yao ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo.
9 years ago
StarTV02 Oct
Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto
Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.
Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.
Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
TPDC yatoa ufafanuzi mkataba wa Statoil
9 years ago
Habarileo27 Aug
Idara yatoa ufafanuzi kufungwa shule
IDARA ya Elimu mkoani Dar es Salaam imefafanua juu ya kufungwa kwa shule za msingi, ikisisitiza kuwa uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba hautaathiri mihula ya masomo.
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Uhamiaji yatoa ufafanuzi ajira zilizositishwa
9 years ago
Mtanzania21 Oct
NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura
JONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.
Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.
Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...
10 years ago
MichuziTAMISEMI yatoa ufafanuzi uhaba wa vyakula mashuleni