ACT Wazalendo yatoa Meya Kigoma Ujiji
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji limemchagua Diwani wa Kata ya Bangwe, Hussien Ruhavi kuwa Meya wa manispaa hiyo. Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) akiahidi kumshughulikia diwani yeyote atakayekwamisha mipango yao ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s72-c/x.jpg)
KIGOMA UJIJI YAPATA MEYA TOKA ACT Wazalendo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s640/x.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qwU0-3A8Fk8/VnUTUKMHN0I/AAAAAAADD3g/6Gp0HYnnQss/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3oFQ3B60FMc/VnUUPSC9oJI/AAAAAAADD3w/zWgV326HkVs/s640/e.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcypMUE14Hk/VnUUO2zmCPI/AAAAAAADD3s/7IFy3A_XzZM/s640/w.jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
BARAZA ...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
ACT Wazalendo wang’ara jimbo la Kigoma/Ujiji
Hii ni kwa mujibu wa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook ambapo anajivunia Kigoma/Ujiji kuwa Manispaa ya kwanza kuwa chini ya chama cha ACT Wazalendo.
Na haya ndio matokeo yenye kama alivyoorodhesha kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Bangwe: ACT:1939, CCM:1243, CDM: 830
BUHANDA: ACT:1163, CCM: 581, CDM: 1147
BUSINDE: ACT: 376, CCM: 447, CDM: 139
BUZEBAZEBA: ACT: 2758, CCM: 1515, CDM: 1003
GUNGU: ACT: 3528, CCM: 1551, CDM: 1561
KAGERA: ACT: 939,...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
ACT-Wazalendo waanza kushambulia Kigoma
9 years ago
Vijimambo25 Oct
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-3.jpg?resize=501%2C370)
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-1.jpg?resize=582%2C427)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-2.jpg?resize=584%2C429)
Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
10 years ago
Habarileo26 May
Kigoma/Ujiji walala vituoni kujiandikisha
WAKATI uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la mpigakura ukiwa umeanza kwenye kata sita za manispaa ya Kigoma/Ujiji, wananchi wamekuwa wakilala kwenye vituo vya uandikishaji ili kuhakikisha hawakosi kuandikishwa.
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
9 years ago
StarTV07 Jan
Watumishi 9 Halmashauri ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi
Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kigoma imewasimimisha kazi watumishi tisa wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji ili kupitisha uchunguzi zaidi juu ya tuhuma za ubadhilifu wa fedha unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya manispaa hiyo na kuisababishia manispaa hiyo kupata hasara ya mamilioni ya fedha.
Kusimamishwa kwa watumishi hao kunakuja ikiwa ni takribabi wiki moja tangu waziri mkuu Kasimu Majaliwa alipokuwa mkoani kigoma kumueleza katibu tawala wa mkoa huo ...