ACT Wazalendo wang’ara jimbo la Kigoma/Ujiji
Hii ni kwa mujibu wa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook ambapo anajivunia Kigoma/Ujiji kuwa Manispaa ya kwanza kuwa chini ya chama cha ACT Wazalendo.
Na haya ndio matokeo yenye kama alivyoorodhesha kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Bangwe: ACT:1939, CCM:1243, CDM: 830
BUHANDA: ACT:1163, CCM: 581, CDM: 1147
BUSINDE: ACT: 376, CCM: 447, CDM: 139
BUZEBAZEBA: ACT: 2758, CCM: 1515, CDM: 1003
GUNGU: ACT: 3528, CCM: 1551, CDM: 1561
KAGERA: ACT: 939,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Dec
ACT Wazalendo yatoa Meya Kigoma Ujiji
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji limemchagua Diwani wa Kata ya Bangwe, Hussien Ruhavi kuwa Meya wa manispaa hiyo. Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) akiahidi kumshughulikia diwani yeyote atakayekwamisha mipango yao ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s72-c/x.jpg)
KIGOMA UJIJI YAPATA MEYA TOKA ACT Wazalendo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s640/x.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qwU0-3A8Fk8/VnUTUKMHN0I/AAAAAAADD3g/6Gp0HYnnQss/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3oFQ3B60FMc/VnUUPSC9oJI/AAAAAAADD3w/zWgV326HkVs/s640/e.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcypMUE14Hk/VnUUO2zmCPI/AAAAAAADD3s/7IFy3A_XzZM/s640/w.jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
BARAZA ...
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
9 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
ACT-Wazalendo waanza kushambulia Kigoma
9 years ago
Mwananchi29 Sep
ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma
9 years ago
Vijimambo25 Oct
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-3.jpg?resize=501%2C370)
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-1.jpg?resize=582%2C427)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-2.jpg?resize=584%2C429)
Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...
10 years ago
MichuziMKUTANO WA ACT WAZALENDO JIMBO LA MOROGORO MJINI LEO
viongozi wa kitaifa wa ACT wazalendo wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuanza mkutano wa hadhara jimbo la Morogoro mjini leo
Picha zaidi BOFYA HAPA